Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
MLIMBA ya Ifakara?Njoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MLIMBA ya Ifakara?Njoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Nitashukuru mkuu maana nahitaji kama guni kadhaa hiviMimi siuzi mkuu...labda nikupe namba ya mzee anayelima!..
Nitashukuru mkuu maana nahitaji kama guni kadhaa hivi
Mtafute Kuna mtu anaitwa Sanchez magoli
debe la Karanga zilizomenywa Tsh 3200??[emoji848]Zilizomenywa boss...moro bei jana ilikua 3200@n
Niliandika 3200@kilodebe la Karanga zilizomenywa Tsh 3200??[emoji848]
Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Kilo ya samaki unauzaje?
Zipo mbao Aina tofauti, asa softwood na hardwood.Natafuta connection ya biashara ya mbao
@YoungJigger
Mkuu kilo bei ganAnaye taka connection ya samaki wa mwanza ni pm, mtaji ni kuanzia 50,000 tu. Nakutumia mzigo na watakulipa mno
Boss, niko na tangawizi but kigoma vp unaeza hitajiMuuzaji wa tangawizi na vitunguu swaumu toka njombe au madaba na bei ataje
Kwa aliyeko tabora na anauza asali nyuki wadogo tufanye kitu nipo dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Muuzaji au mnunuzi mi mwenyewe nafanya biashara hioNatafuta connection ya biashara ya mbao
@YoungJigger
Debe 8500!