Uzi maalumu wa kusubiri post za ajira za TAMISEMI

We nani bhn,mbwembwe kibaoooo..tuliza njegere hizo.
 
Namshangaa au hajui kuwa kuna watu wanaitwa ma refarii..
 
Lakini serikali mfumo huu wanaotumia kuajiri ni mzur sana, mfano, mwaka huu ajira nyng ni za 2018 kushuka, kwa 2019 ,20 na 21,22 labda physcs na mathe ,, ila kwa arts naona weng wamepigwa chini naona hayahitajiki tena hayo, kwasasa sayans ndio ya
 
Habari za majukumu
Mweny link ya waliochaguliwa ajira mpya tafadhali atuwekee humu
 
Namshangaa au hajui kuwa kuna watu wanaitwa ma refarii..
Jina jingine wanaitwa ni God father's (sijawahi sikia God mother's) au kifupi ni baba wa ubatizo na mama wa ubatizo, sasa wewe baba yako wa ubatizo ni nani anzia hapo
 

Dah inauma sana lakini amtegemee Mungu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…