Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
-
- #201
Jiwe Angavu, MAZUNGUMZO BAADA YA KHABARI MUHIMU SANA,tunatumia 2% kwa kukremu tafiti za wengine na kusababisha kutofikirisha akili zetu si vibaya tuka tumia mpaka 5% kujazia mengi tusiyoyajua.Shida huu uzi umeanza kuharibiwa watu wameanza kufundishana uchawi na kuita majini.
Anyway naendelea kujifunza..hasa mimea ya dawa.
#MaendeleoHayanaChama
Shukurani kitabu nimekidownl, Ni kizuri sana japo kina page 28 tu,Kitabu nimeshakitoa, lilikuwa jaribio likakatazwa nikaacha. Humu nimekiattach kuondoa ubishi wa nafanya biashara. Afu ata sio changu kipo website ya SUA, na mimi pia nilikuwa nacho kwangu kilitolewa kiroho safi na mwenye nacho hakiuzwi.
Hata hivyo kama upo siriazi unataka kuhifadhi kichwa cha nyani na chumvi ili upewe hela za bure [post yako no467] unadhani utamuelewa yeyote atakayejaribu kukuambia tofauti?
Ila ukifanya utafanikiwa, sio kutokana na nyani ila kitendo cha kuamka asubuhi usokwauso na nyani mkavu laivu, lazima uwe siriazi na raia yeyote katika biashara zako siku hiyo. Utafanikiwa kutokana na ujasiri ila sio sura ya nyani kama sura ya nyani. Sasa si uwe jasiri tu mwenyewe uwe mjasirinamali hapohapo, imani na ujasiri wako vitakuponya.
Kuna mzabibu pia. Soma vizuri nakumbuka hivyoAmeonesha tu bangi ajaelezea
Sio maumivu but wenye shida ya usikivuKuna mzabibu pia. Soma vizuri nakumbuka hivyo
Nusa mdalasini kila siku asubuhi na jioni, na pia jitahidi kunywa juice ya mdalasini kila siku walau kikombe kimoja.Je kuna dawa yyte ya kutokukufanya usahau mambo kwa haraka ?
utakuta mtu anaambiwa kitu flani ila baada ya mda kidogo tu anakua ameshakisahau je kuna tiba juu ya hili?
We ni mwislam?Je kuna dawa yyte ya kutokukufanya usahau mambo kwa haraka ?
utakuta mtu anaambiwa kitu flani ila baada ya mda kidogo tu anakua ameshakisahau je kuna tiba juu ya hili?
Hili tatizo la kusahau kwani lina uhusiano na Dini?We ni mwislam?
Nimeuliza kama ni muislam nimpe tiba ya kidini iliyoruhusiwa na ya uhakika, "aandike sura al imran mstari wa 7 na 8 auifadhi ataona maajabu yake!Hili tatizo la kusahau kwani lina uhusiano na Dini?
kama ni dawa za kisunna we zitaje tu tutazifuatilia huko huko zinakouzwa
AU pia tafuta Kokwa za embe kile kiini chake katakata kianike sehemu yenye jua la wastani kikikauka kisage unga wake changanya na maji moto uwe unakunywa asubuhi na jioni, jenga tu tabia hiyo utakuja hadithia hapaasante sana kwa jibu lako chief ! mimi nimepata asthma ukubwani kabisa ila muda. Kuhusu maziwa ya punda je nakunywa kwa muda gani na kwa dar es salaam naweza kuyapata wapi? Na je utumiaji wa hayo maziwa ukoje ( i mean vipimo in case nayapata!)
Dawa ya mifupa kusagika naomba unielekezeKuna niliowasikia wana shida za miguu hapa,
°Tafuteni saum
°chumvi ya mawe kidogo
°mafuta ya zaituni
CHANGANYENI.
Wakati wa kulala usiku chueni miguu yenu KWA KUSIGINIA PAKAA NYAYONI KWA WENGI KABISA, UTAKAPO LALA UKIAMKA LETE JIBU UNANAFUU AU LAA, ENDELEA KWA SIKU 40.
Mkuu hii sifahamu ngoja wengine waje mifupa ya nyonga au?Dawa ya mifupa kusagika naomba unielekeze
ShukranNusa mdalasini kila siku asubuhi na jioni, na pia jitahidi kunywa juice ya mdalasini kila siku walau kikombe kimoja.
Mdalasini unasaidia kuongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu
YeahWe ni mwislam?
OohHaya ni majani yaliyotuzunguka majumbani mwetu ndiyo yanayoitwa # Paragis grass as mentioned in thread aboves