Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

FAHAMU KUHUSU FAIDA ZA MTI WA MUINGE AU MUEGEA KATIKA TIBA ZA ASILI

MTI huu una majina mengi wengine huita muegea, muinge mlemela na majina mengine. Mti hutumika sana kukuzia maumbile ila kuna utaalam maalum hutumika ila nitawapa faida kiafya

KWA AFYA KWA UJUMLA

Unatibu Tumbo Kujaa Gesi Kujisaidia Milendalenda Vidonda Vya Tumbo Kunawirisha Mwili Kwa Wale Wenye Afya Mgogoro ukurutu na magonjwa mengine ya ngozi.

Jinsi ya kutumia Kupata faida hizo kwa kutumia mizizi ya mti huo, chukua mizizi au magome yake na uyakaushe kivulini (sio juani), baada ya kukauka, saga magome hayo ili upate unga. Chota unga huo kiasi cha gramu 700 (karibu na robo tatu kilo), changanya na maji kiasi cha lita 6. Mwenye tatizo anatakiwa kunywa mchanganyiko huo kwa kiasi cha robo lita kila siku

Hifadhi kwenye fliji ili isiharibike ukhtaj kutumia waipasha moto kidogo.

kukausha vidonda chukua unga huo hunyunyuziwa katika nguo au kitambaa na kisha nguo au kitambaa hicho hufungwa katika kidonda au jereha na baada ya siku kadhaa jeraha hilo hukauka.

KWA MARADHI YA WATOTO WADOGO

kupata tiba ya nimonia na matatizo ya tumbo ikiwa ni pamoja na minyoo kwa watoto, magome ya mvunge huchukuliwa na kulowekwa kwenye maji kisha mtoto mwenye tatizo la tumbo hunywesha maji hayo. Aidha, unaweza kutumia mizizi kama mbadala wa magome kutibu nimonia.

KWA WANAWAKE KUONDOA MAJI NA KUONGEZA JOTO NA HAMU YA TENDO LA NDOA

tafuta maua ya mti huo, huchemshwa au kukaushwa na kusagwa kisha huchanganywa na maji. Baada ya kupata dawa hiyo, muhusika anaweza kuitumia kwa kunywa kwa kipimo cha robo lita na nyingine kujisafishia sehemu za siri ndani ya ck saba mfululizo

pia mti huu hutumika kukuza maumbile kwa kuchanjia km inavyoelezwa na wengine wengi na pia kwa kupakaa baada ya kuandaliwa kwa kuchukua mti huu na kuchanganywa na miti na mafuta mengine.....
pia utumika kwa katu wenye matatizo ya kupungukiwa damu mara kwa mara.
Chukua matunda yake katakata chemsha had yachemke vizuri then subiria ipoe alaf uwe unakunywa
 
Naomba kuuliza tiba zinazotokana na wanyama mfano chui Simba nyani nyati sababu Kuna story za hirizi ya simba
IMG_20220628_062944.jpg
 
Mungu ana makusudi makubwa Sana kutuwekea miti na mimea katika maeneo yetu. Mimea ni tiba, ni chakula ni kinga. Watu wanarogwa au kuwa masikini au mabalaa au mikosi sababu awataki kutafuta maarifa.

Pana mimea ukiitumia ukukinga na maradhi ya kibaiologia na maradhi ya kiroho yaani ukiitumia utougua ugonjwa wowote maishani mwako na wala kurogwa au kudhurika na nguvu za giza kwa maana ya wachawi, mikosi, laana mabalaa nk. Utakuwa na kinga zote za kimwili na kiroho utaishi uzee mwema.
 
Mfano muarobaini utibu magonjwa 40,mlonge utibu magonjwa 120, kivumbasi na mla ngamia utibu magonjwa yote ya kiroho, ukichanganya majani ya mimea hii ukasaga na kupata unga ukawa unatumia kwenye uji, maji, juice au kinywaji chochote unakuwa na antbody ya kutosha dhidi ya ugonjwa wowote wa kibaiologia na magonjwa yote ya kichawi yaani mchawi na jini Ili wakupate wafanye Kazi hasa.

Ukiongeza imani yako kwa Mola wako sahau kabisa kurogwa au kuumwa ugonjwa wowote. Miti mingi Ina nguvu za kiroho na kibaiologia jiulize kwann watu wa asia upenda Sana kula vitunguu swaumu. Kitunguu saumu na ndimu ni tiba tosha za magonjwa ya kimwili na kiroho.

Ndimu sijui limao eti linakausha damu hizi ni propaganda za wachawi na viwanda vya madawa ambavyo watu wasipougua watafunga viwanda vyao pia wachawi hawawezi kukudhuru yaani Yale mawimbi ya negative power hayawezi penya kwenye mwili wenye ndimu.
 
Mgomba umrudisha msukule yaani mtu aliyefichwa na wachawi. Mchawi hana uwezo wa kuua mtu bali umficha na kukufanyia kiini macho. Mwenye uwezo wa kuua mtu ni Mwenyezi Mungu pekee na sio kiumbe chochote.
 
Tumia vipande viwili vya mdlasini weka kwenye wallet vikae humo, asubuhi tamka hayo maneno kimya kimya ukiweza na jioni kwa ufanisi zaidi.
Mkuu naomba ufafanuzi, hii inamfaa mwenye duka/biashara au hata mtu anayekwenda kazini kama vile ofisini?
 
We jamaa ni wa hovyo sana wewe halafu mbishi. Kuvamia vamia nyuzi tu kaanzishe wako uuze likitabu lako.
Kitabu nimeshakitoa, lilikuwa jaribio likakatazwa nikaacha. Humu nimekiattach kuondoa ubishi wa nafanya biashara. Afu ata sio changu kipo website ya SUA, na mimi pia nilikuwa nacho kwangu kilitolewa kiroho safi na mwenye nacho hakiuzwi.

Hata hivyo kama upo siriazi unataka kuhifadhi kichwa cha nyani na chumvi ili upewe hela za bure [post yako no467] unadhani utamuelewa yeyote atakayejaribu kukuambia tofauti?
Ila ukifanya utafanikiwa, sio kutokana na nyani ila kitendo cha kuamka asubuhi usokwauso na nyani mkavu laivu, lazima uwe siriazi na raia yeyote katika biashara zako siku hiyo. Utafanikiwa kutokana na ujasiri ila sio sura ya nyani kama sura ya nyani.

Sasa si uwe jasiri tu mwenyewe uwe mjasirinamali hapohapo, imani na ujasiri wako vitakuponya.
 

Attachments

#Mshana_jr karibu sana tupate nukuu na ujuzi kutoka kwako juu ya masuala ya tiba za mimea, usipite kimyakimya mkuu
 
Kuna niliowasikia wana shida za miguu hapa,
°Tafuteni saum
°chumvi ya mawe kidogo
°mafuta ya zaituni
CHANGANYENI.
Wakati wa kulala usiku chueni miguu yenu KWA KUSIGINIA PAKAA NYAYONI KWA WENGI KABISA, UTAKAPO LALA UKIAMKA LETE JIBU UNANAFUU AU LAA, ENDELEA KWA SIKU 40.
 
Back
Top Bottom