Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Ilegee wewe ni ng'ombe kwani[emoji28][emoji28]Mnataka ibane tuumie???[emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilegee wewe ni ng'ombe kwani[emoji28][emoji28]Mnataka ibane tuumie???[emoji1][emoji1][emoji1]
Ibane kwani nyie ni chelewa?Ilegee wewe ni ng'ombe kwani[emoji28][emoji28]
Ikibana itakusaidia kufinyia kwa ndani, limbwata lingine ni matunzo tu ya hiyo kitu ili ibane mume hakimbii ng'oMnataka ibane tuumie???[emoji1][emoji1][emoji1]
Kumbeee ila mm naamini kama mwanamke ni mwaminifu size ya d ya mume wake ndo itakua kipimo chake alwaysIkibana itakusaidia kufinyia kwa ndani, limbwata lingine ni matunzo tu ya hiyo kitu ili ibane mume hakimbii ng'o
Mambo ni mengi, kuna kubakwa,kuzaa, kuna wanaoolewa na ambao hawakuanza nao hvyo size hazilingani sasa hiyo husababisha uke kulegea....Kumbeee ila mm naamini kama mwanamke ni mwaminifu size ya d ya mume wake ndo itakua kipimo chake always
FAHAMU KUHUSU FAIDA ZA MTI WA MUINGE AU MUEGEA KATIKA TIBA ZA ASILIKwa walioulizia muegeya ndio huu hapa, wengine wanauita Mvunge.
View attachment 2276653View attachment 2276654
Ndugu yangu hapana hapana hapana.Kwani uzi mzima unaweza kufungwa kwa ajili ya comment za mjinga mmoja[mimi] si watanipiga ban tu.
Mkuu ukipata dawa nitag..mama yangu anasumbuliwa sana na miguuKuna nko wangu alikua anasumbuliwa na kuwaka miguu moto..nilikua namuona anachemsha majani ya mimea flani..kisha anakanyaga miguu kwenye beseni lenye maji ya mimea hiyo..kiila siku asbuhi na usiku.
Alishaga pona kitambo..ngoja nitajaribu kuuliza ilikuwa na dawa gani.
#MaendeleoHayanaChama
Mimi sio mtaalamu wa tiba ila niliweza kupunguza unene au uzito kwa kilo 20 ndani ya miezi 6 kwa kubalance vyakula yaani kula kwa kiasi. Baada ya kugundua chanzo cha unene au uzito ni chakula. Kuna baadhi ya vyakula kama sukari, sembe, soda niliacha kabisa. Wali, chapati za unga uliokobolewa, nyama, viazi nilipunguza kwa kiasi kikubwa kama matumizi niliyashusha hadi kufikia nusu na mengine robo. Hapa inahitajika nidhamu na uadlifu wa hali ya juu.Nashukuru sana mkuu ntazingatia hilo nadhani ungenijuza mfumo wa dozi ingependeza zaidi pia, swali lilo ulizwa na mdau ni dawa ya asili ya kuondoa unene, nmeomba majibu kwakua kuna ndugu yangu pia anahangaika sana kutafuta dawa ya namna hiyo kwani amekua mzito sana hata kuanza mazoezi madogo madogo.
Nimekupata vyema kiongozi, niliwahi sikia funga pia ni tiba nzuri ya kupunguza unene.Mimi sio mtaalamu wa tiba ila niliweza kupunguza unene au uzito kwa kilo 20 ndani ya miezi 6 kwa kubalance vyakula yaani kula kwa kiasi. Baada ya kugundua chanzo cha unene au uzito ni chakula. Kuna baadhi ya vyakula kama sukari, sembe, soda niliacha kabisa. Wali, chapati za unga uliokobolewa, nyama, viazi nilipunguza kwa kiasi kikubwa kama matumizi niliyashusha hadi kufikia nusu na mengine robo. Hapa inahitajika nidhamu na uadlifu wa hali ya juu.
Wakati anasubiri kupewa mwongozo wa dawa au tiba azingatie utaratibu wa lishe hasa kuepuka vyakula vinavyoujaza mwili mafuta. Mtu aweza sema, sembe inaujazaje mwili mafuta? Tambua inaujaza kutokana na mifumo ya uchakataji na uhifadhi wa viini lishe mwilini. Ajitahidi kula mboga za majani na matunda.
Bange hii au sio ?Dawa ya sikio
View attachment 2271871
Wewe upo mji gani?Naupata wapi huu?
Siyo wenyewe hilo ni ua au yanatumika kama fensi usije kutumia utakufaKuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
Msaada mkuu kwetu huku iyo miti haipo. Tunapateje hiyo Dawa.Ndugu wanajukwaa wenzangu,ninawasalimu kwa jina la JMT! Kwa wale ambao Mungu anaendelea kuwajaalia afya njema basi ni jambo la kumshukuru Mungu,lakini pia kwa wale ambao wana matatizo mbalimbali ya kiafya si wakati wa kukata
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app