Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maridadi kabisa nimeupenda, napenda kuishi maisha flani yasiyopoteza ladha ya kiafrika km kula vyakula asili, kutumia dawa asili nk

Nafahamu baadhi ya dawa ila nyingine sijui majina kwa kiswahili labda kwa kilugha cha kwetu,
Dawa ya kinyama cha jicho, sijui ndo wanaita kansa ya macho,, ni mti flani unauzwa sana na taasisi za kidini niliwahi kusikia wanasema eti ni moja mti ulikuwepo ktk bustani ya Eden,, akipatikana anaeujua huu mti atume picha yake, kwa jina la kilugha unaitwa, 'OMUHUHE'

Matumizi ni kama ifuatavyo; unachuma majani yake yaliyo machanga,, unayaosha na kuosha utakapopondea,, hakikisha yanalainika kabisa, then unayafunga vizuri kwenye jani la mgomba,, kama wauza karanga au unga wanavyofungasha unga mchele kwenye gazeti, kisha unabinya dawa uliyoponda ili kutoa maji ya dawa husika, hakikisha maji yanadondokea sehemu safi yaweza kuwa kisosi au kibakuli kidogo tu, baada ya hapo unatafuta mirija ya kienyeji, yapo majani huwa yanakuwa na uwazi katikati,(wazee zamani walitumia kunywea pombe), unavuta hiyo dawa kwenye mrija huo ukihisi imepanda unazuia kwa kidole ili isimwagike,, halafu unamdondoshea mgonjwa kwenye macho,,, fanya hivi kwa kurudia katika miezi 3-6 kutegemea na ukubwa wa kinyama,, kitaisha

Hii dawa niliwahi kutibia mtu aliyekuwa na kinyama kilikuwa kinaonekana kabisa, hakikuwa kinamuuma, siku moja akaamua kwenda hospital wakamwambia ni kinyama na alitakiwa kufanyiwa upasuaji haraka maana alikuwa anaelekea kuwa kipofu, ndipo tukaambiwa hiyo dawa na alipona hadi leo hakijarudi

Tangu hapa niliheshimu mitishamba na nilianza kuitilia maanani
Asante sana huo mti ni mkomamanga au ni mti gani? Maana mkomamanga ulikuwepo katika bustani ya eden
 
Wakuu naombeni mbinu ya kuwasha mkaa kwa haraka Ili kuchoma dawa kazini (biashara/duka)

Maana wengine hatupiki wala hatuna majiko,na kwa kuwa tubajulikana hatupiki swala la kuomba moto linaweza kuleta picha mbaya, ukizingatia swala la kuchoma dawa kwenye biashara ni very private and secret.

So naombeni kama kuna njia ya kuwasha mkaa kwa haraka (chini ya dakika uwe umeshika moto ) naombeni mnisaidie.
Tumia chetezo
 
Anayatumia kunywa, kupaka au kufanyaje na kwa muda gani?
Kunywa mkuu vijiko vikubwa viwili kwa siku saba / ni dawa kubwa mno lakini na inap onyesha kwa 90% inakwenda ku soothes na kulegeza system nzima endapo kama ni mgonjwa wa muda mrefu aendelee kutumia
 
Wanasema ukichukua unga wa kokwa la embe kwa mwanamke akiwa ananawa asubuhi na jioni kila kwa maji ya vuguvugu yenye huo unga uke utabana baada ya muda mfupi tu

Kwa mwanaume mwenye dhakari ndogo: pakaaa kwa kuuchua uume na mchanganyiko wa unga huo na mafuta ya ng'ombe kila ukienda kulala usiku, utaona matokeo yake kwa uwezo wa Mungu
Mnataka ibane tuumie???😄😄😄
 
★Ukikwamwa na mfupa wa samaki, chukua majani ya mbigiri, yafikiche kidogo kisha kuwa kama unayapaka kwenye koo kushusha chini kama vile unauamulisha mfupa ushuke.
Fanya hivo halafu kunywa maji, kwa uwezo wa Mnyazi Mungu mfupa utashuka.

★Uking'atwa na nyoka, kunywa mkojo wa binadamu, wako au wa mwingine. Inasaidia sumu isisambae.
 
Kuna nko wangu alikua anasumbuliwa na kuwaka miguu moto..nilikua namuona anachemsha majani ya mimea flani..kisha anakanyaga miguu kwenye beseni lenye maji ya mimea hiyo..kiila siku asbuhi na usiku.

Alishaga pona kitambo..ngoja nitajaribu kuuliza ilikuwa na dawa gani.

#MaendeleoHayanaChama
nitashukuru sana mkuu. naomba nipate hiyo tiba ase. nasubiri mrejesho kwa hamu.
 
Hiv no Mwenyezi Mungu ama Mnyazi Mungu?
★Ukikwamwa na mfupa wa samaki, chukua majani ya mbigiri, yafikiche kidogo kisha kuwa kama unayapaka kwenye koo kushusha chini kama vile unauamulisha mfupa ushuke.
Fanya hivo halafu kunywa maji, kwa uwezo wa Mnyazi Mungu mfupa utashuka.

★Uking'atwa na nyoka, kunywa mkojo wa binadamu, wako au wa mwingine. Inasaidia sumu isisambae.
 
Mkuu ndio umeamua kuwafundisha hawa kenge watulishe uchafu?

Basi mimi nimekubali mkuu ila waambie wazioshe hizo nyapu zao ziwe safi zitakate kabisa siku kadhaa mfululizo kabla ya siku ya kuandaa hiyo dawa ya limbwata kwa ajili yangu, nahisi wife naye yumo humu anasoma huu uzi
muwahi kumtengezea kabla hujawekewa.
 
Back
Top Bottom