Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Mny
Jina: Msongwi au songwe in Kihehe(iringa)
Ugonjwa : typhoid au homa ya matumbo
Maelekezo :chemsha majani laini ya mti huu then kunywa.
Dozi: kikombe cha chai. View attachment 2271380
Mnyalu huu mti si unatoa vimatunda fulani ivi vinaliwaga. Vikiiva vinakuwa njano.
Kama hapo kwenye kamfuko kakiiva kanapasuka kanaliwa. Hii kikwetu mpaka nashindwa kuandika hapa
 
HOW TO USE ALLIGATOR PEPPER

1)If You are having Attack or bad feelings for something that is gonna happen

SOLUTION->Come outside with one piece of Alligator pepper and pray with it saying "anywhere these attack is coming from, that you are sending it back to sender" after the prayers wave it over your head 7times and throw it away

2)if You are leaving in a house where you and your husband or your wife are having problem or quarreling all the time for no reasons and you are sure it was caused by someone SOLUTION-> Just use one piece of Alligator pepper to cleanse yourselves and say whatever this problem is coming from, it should stop and go back to sender

3)If You wake up in the morning and have bad feelings SOLUTION-> just use 7pieces of Alligator pepper, put it inside your bucket of water and bath with it, as you are bathing pray that no evil shall be fall you

4)if You do have bad dreams and you don't want it to come to Reality SOLUTION-> Take 7pieces of alligator pepper, put it in your mouth and and chew it, while chewing it go outside and pray that no evil shall be fall you, as you are saying these prayers, you will be spitting it up

5)if You do experience bad market or bad businesses SOLUTION-> Take four pieces of Alligator pepper to cleanse your shop and throw it where people are passing, after that take another two pieces and cleanse yourself after that, throw it the same place, as you did the first one

6) Also if you are the type that sleeps with different girls, remember some girls have bad spirit in which they carry from another man and while sleeping with them without cleansing yourself can bring bad luck to you also that badluck brings business failures SOLUTION-> Before you sleep with any girl, use 7pieces of Alligator pepper to cleanse yourself before and after you are through with the person
IMG_20220627_045114_935.jpg
 
Uzi maridadi kabisa nimeupenda, napenda kuishi maisha flani yasiyopoteza ladha ya kiafrika km kula vyakula asili, kutumia dawa asili nk

Nafahamu baadhi ya dawa ila nyingine sijui majina kwa kiswahili labda kwa kilugha cha kwetu,
Dawa ya kinyama cha jicho, sijui ndo wanaita kansa ya macho,, ni mti flani unauzwa sana na taasisi za kidini niliwahi kusikia wanasema eti ni moja mti ulikuwepo ktk bustani ya Eden,, akipatikana anaeujua huu mti atume picha yake, kwa jina la kilugha unaitwa, 'OMUHUHE'

Matumizi ni kama ifuatavyo; unachuma majani yake yaliyo machanga,, unayaosha na kuosha utakapopondea,, hakikisha yanalainika kabisa, then unayafunga vizuri kwenye jani la mgomba,, kama wauza karanga au unga wanavyofungasha unga mchele kwenye gazeti, kisha unabinya dawa uliyoponda ili kutoa maji ya dawa husika, hakikisha maji yanadondokea sehemu safi yaweza kuwa kisosi au kibakuli kidogo tu, baada ya hapo unatafuta mirija ya kienyeji, yapo majani huwa yanakuwa na uwazi katikati,(wazee zamani walitumia kunywea pombe), unavuta hiyo dawa kwenye mrija huo ukihisi imepanda unazuia kwa kidole ili isimwagike,, halafu unamdondoshea mgonjwa kwenye macho,,, fanya hivi kwa kurudia katika miezi 3-6 kutegemea na ukubwa wa kinyama,, kitaisha

Hii dawa niliwahi kutibia mtu aliyekuwa na kinyama kilikuwa kinaonekana kabisa, hakikuwa kinamuuma, siku moja akaamua kwenda hospital wakamwambia ni kinyama na alitakiwa kufanyiwa upasuaji haraka maana alikuwa anaelekea kuwa kipofu, ndipo tukaambiwa hiyo dawa na alipona hadi leo hakijarudi

Tangu hapa niliheshimu mitishamba na nilianza kuitilia maanani
 
Mny

Mnyalu huu mti si unatoa vimatunda fulani ivi vinaliwaga. Vikiiva vinakuwa njano.
Kama hapo kwenye kamfuko kakiiva kanapasuka kanaliwa. Hii kikwetu mpaka nashindwa kuandika hapa
Ndio mkuu. Ndio mmea huo huo
Hayo matunda yake ukiyala mengi huwa yanaleta uvivu na serious unalewa. Ila ni tutamu hatari sukari nyingi sana.
 
naomba kufahamu mimea ya kienyeji kwa ajili ya kutibu miguu kuwaka moto kwa watu walioenda umri. tafadhali.
Kuna nko wangu alikua anasumbuliwa na kuwaka miguu moto..nilikua namuona anachemsha majani ya mimea flani..kisha anakanyaga miguu kwenye beseni lenye maji ya mimea hiyo..kiila siku asbuhi na usiku.

Alishaga pona kitambo..ngoja nitajaribu kuuliza ilikuwa na dawa gani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom