Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

IMG_20220625_174549_926.jpg


Kwa wale wenye mikosi sugu na wanahisi inahusiana na mizimu,
°Kata majani mawili ya mgomba
°Taft chumvi ya mawe, changanya na magadi ya upare, weka kwenye maji ya mvua za mwezi wa nne, pamoja na jani moja ukiwa umelipondaponda changanya ndani ya maji hayo, tandika jani moja chini simama juu yake uga maji huku ukiomba utakavyo ukimaliza toka juu ya jani via ndala zako rudi ndani kwa siku saba tu, la kujisugulia ulitoe katika majani makavu ya mgomba huo.
N. B:- kaombe kazi uone responses yake
 
Kama una ndugu amelishwa limbwata lile mume anakuwa zoba, hana sauti, fanya hivi.

Ingia kwenye Banda la kuku, fagia uchafu (kinyesi) kwa kutoa nje.
Okota punje chache za kinyesi cha kuku kisage sana,changanya na maji au kinywaji chochote halafu mpe mlengwa anywe.
Atatapika vibaya mno,akitoka hapo mke atachezea kisago cha mbwa mwizi
 
Apple and honey
STOP SUDDEN DEATH
Have you not heard that some people will just be walking and just slump like that..... That is the end of thier life, most of this issues is caused by Heart PROBLEMS not even attack or village witches, it is caused by heart conditions which include
Hypertension
Cardiac arrest
Heart attack
Heart failure
Coronary heart Diseases
So if you want to stay long on earth , pls be careful by always checking your Bp , sugar levels and also twice in a year go for a test called
Echocardiography
Lipid profile test
This two test are very essential to help check the image and the Reading of the heart while the lipid profile test helps to check the level of High blood cholesterol seen in your Body system
So do what I call , daily preventive measures which is
APPLE
HONEY.
Slice and Boil your Apple using two cups of water and after boiling, remove the water and add it one spoon of honey , drink this FirSt every morning or at least four times a week.... by doing this it will forever maintain a healthy heart and help you keep your blood pressure in appropriate measure.
 
Kumfukuza incubus na succubus:- (mahaba ke/me)
(Jinamizi kabaji/mpenda mapenzi usiku)
Chukua maua meupe ya jetropha
Chukua basil
Chukua unga wa sulphur
Philip ili kichaa nyekundu
Saga changanya choma ndani mwako, mwanamke choma siku 9
Mwanaume siku 7
It will ends that #shits
 
Wakuu naombeni mbinu ya kuwasha mkaa kwa haraka Ili kuchoma dawa kazini (biashara/duka)

Maana wengine hatupiki wala hatuna majiko,na kwa kuwa tubajulikana hatupiki swala la kuomba moto linaweza kuleta picha mbaya, ukizingatia swala la kuchoma dawa kwenye biashara ni very private and secret.

So naombeni kama kuna njia ya kuwasha mkaa kwa haraka (chini ya dakika uwe umeshika moto ) naombeni mnisaidie.
 
Wachaga wanaita SALLE,au ISALLE/MMEA WA MIPAKA.
:this plant is almost found every where across the continent.it was used to share boundaries,farms or separate ones property from others.our ancestors did a good job by discovering the spiritual uses of this plant.evil spirits,fear this plant to the point that.immediately they see you collecting or bringing this herbs home.they start to move away and out of your life.if you want to break spiritual marriage,this herbs is for you.if you feel your house is being haunted.put this herbs in water and sprinkle it inn around your house or store.you can use this herbs to remove all curses,placed on you if you soak it and bath with it for seven days.witches and wizards fear this herbs very much.if by mistake,someone dies at your hands and the spirit is tormenting u.this herbs and another herbs can be put together to help stop the spirit of the person from tormenting u.u can use this wonderful herbs to separate someone from coming near your partner...
1656264707784.png
 
Kwa wale wenye mikosi sugu na wanahisi inahusiana na mizimu,
°Kata majani mawili ya mgomba
°Taft chumvi ya mawe, changanya na magadi ya upare, weka kwenye maji ya mvua za mwezi wa nne, pamoja na jani moja ukiwa umelipondaponda changanya ndani ya maji hayo, tandika jani moja chini simama juu yake uga maji huku ukiomba utakavyo ukimaliza toka juu ya jani via ndala zako rudi ndani kwa siku saba tu, la kujisugulia ulitoe katika majani makavu ya mgomba huo.
N. B:- kaombe kazi uone responses yake
1656264885081.png
 
Kuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
Hili mkuu linapatiakana vijiji vya home kwetu. Yaani hayo majani yake machanga ukiyatafuna hayana shida. Yanasaidia tumbo mno.yaani Yale ya maisha yangu ya bush Yana raha mno. Kuna matunda pori,na majani fulani mnatafuna,pia Kuna mavi fulani ivi ya ndege yalikuwa Ni matamu balaa.
Yaani ile utotoni mkikutana nayo mnayagombania,uyoga pori,ndege mnatega,mizizi fulani ya Miti mnakula. I have missed that life so much
 
Back
Top Bottom