Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Mkuu uwa unakunywa maji mara tu baada ya kupata chakula?Aisee hapa nimeshindwa hata kulala bawasiri inataka kuniua!
Na hiyo miti ndo inapatikana huko mbali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uwa unakunywa maji mara tu baada ya kupata chakula?Aisee hapa nimeshindwa hata kulala bawasiri inataka kuniua!
Na hiyo miti ndo inapatikana huko mbali!
Na nyingine ya kupunguza unene ni hiiNimekupata vyema kiongozi, niliwahi sikia funga pia ni tiba nzuri ya kupunguza unene.
Mkuu soma huu uzi, hili suala limeshajibiwa na mmoja alileta ushuhuda wa dawa iliyomsaidia.Wakuu naomba kufahamu dawa za mimea yetu ya asili zinayotibu MIGUU NA MIKONO KUWAKA MOTO na MIGUU NA MIKONO KUFA GANZI(PERIPHERAL NEUROPATHY na LEG NUMBNESS)
Natanguliza shukran
Ahsante mkuuMkuu soma huu uzi, hili suala limeshajibiwa na mmoja alileta ushuhuda wa dawa iliyomsaidia.
shukran mkuu kwa kuzidi kuongezea nyama, ushauri huu ntampatia naamini atazingatia haswa isitoshe ni ame hangaika sana.Na nyingine ya kupunguza unene ni hii
giligilani za majani tengeza juisi yake kuywa glass 1×21kwa siku 5
Haya ni majani yaliyotuzunguka majumbani mwetu ndiyo yanayoitwa # Paragis grass as mentioned in thread aboves
Weka kipande cha amdalasini mfukoni katika waleti yake, kila asubuhi utamkage "YA HAKUL" MARA MIA MOJA, nenda kwenye mishe zako, Nimekupa huduma ya kwanza ndg.baada ya siku 40 utafurahi sana.Wakubwa, naomba m-share dawa za biashara na utajiri.
Asante sana mkuu. Nina nahitaji ufafanuzi katika vipengele hivi Ili nielewe vizuriWeka kipande cha amdalasini mfukoni katika waleti yake, kila asubuhi utamkage "YA HAKUL" MARA MIA MOJA, nenda kwenye mishe zako, Nimekupa huduma ya kwanza ndg.baada ya siku 40 utafurahi sana.
Tumia vipande viwili vya mdlasini weka kwenye wallet vikae humo, asubuhi tamka hayo maneno kimya kimya ukiweza na jioni kwa ufanisi zaidi.Asante sana mkuu. Nina nahitaji ufafanuzi katika vipengele hivi Ili nielewe vizuri
i)Je, ni kipande kimoja (gome) au Hata hii ya unga unga inatosha?
ii) Je, nitamke kwa sauti au Hata kimya kimya inafaa?
iii) Je, hicho kipande cha mdalasini nitemebee nacho?
Nashukuru sana mkuu.Tumia vipande viwili vya mdlasini weka kwenye wallet vikae humo, asubuhi tamka hayo maneno kimya kimya ukiweza na jioni kwa ufanisi zaidi.
Uzi maridadi kabisa nimeupenda, napenda kuishi maisha flani yasiyopoteza ladha ya kiafrika km kula vyakula asili, kutumia dawa asili nk
Nafahamu baadhi ya dawa ila nyingine sijui majina kwa kiswahili labda kwa kilugha cha kwetu,
Dawa ya kinyama cha jicho, sijui ndo wanaita kansa ya macho,, ni mti flani unauzwa sana na taasisi za kidini niliwahi kusikia wanasema eti ni moja mti ulikuwepo ktk bustani ya Eden,, akipatikana anaeujua huu mti atume picha yake, kwa jina la kilugha unaitwa, 'OMUHUHE'
Matumizi ni kama ifuatavyo; unachuma majani yake yaliyo machanga,, unayaosha na kuosha utakapopondea,, hakikisha yanalainika kabisa, then unayafunga vizuri kwenye jani la mgomba,, kama wauza karanga au unga wanavyofungasha unga mchele kwenye gazeti, kisha unabinya dawa uliyoponda ili kutoa maji ya dawa husika, hakikisha maji yanadondokea sehemu safi yaweza kuwa kisosi au kibakuli kidogo tu, baada ya hapo unatafuta mirija ya kienyeji, yapo majani huwa yanakuwa na uwazi katikati,(wazee zamani walitumia kunywea pombe), unavuta hiyo dawa kwenye mrija huo ukihisi imepanda unazuia kwa kidole ili isimwagike,, halafu unamdondoshea mgonjwa kwenye macho,,, fanya hivi kwa kurudia katika miezi 3-6 kutegemea na ukubwa wa kinyama,, kitaisha
Hii dawa niliwahi kutibia mtu aliyekuwa na kinyama kilikuwa kinaonekana kabisa, hakikuwa kinamuuma, siku moja akaamua kwenda hospital wakamwambia ni kinyama na alitakiwa kufanyiwa upasuaji haraka maana alikuwa anaelekea kuwa kipofu, ndipo tukaambiwa hiyo dawa na alipona hadi leo hakijarudi
Tangu hapa niliheshimu mitishamba na nilianza kuitilia maanani
Kagera, (kihaya)Sorry, ni kabila gani tuweze kiufuatilia hukooo jikoni, kikubwa umetupatia jina.
Inatibu ugonjwa wa tumbo.Kuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
Nilipokuwa ninazichuma siku zote lazima mdomoni ziwemo kuaznia asbuh hadi jioni nikimaliza na tafuna nyengine. Dawa mzuri hii kwa maradhi ya tumbo lá kuahara au lakawaida.Chai ya karafuu ni nzuri mno kiafya pale itakayokuwa inatumiwa mara kwa mara hufanya ganzi