AFRICAN POWER
Senior Member
- Jun 17, 2022
- 151
- 234
Picha ya NGESI mkuuNGESI
Hii Ngesi ina tiba nyingi nyingi na lukuki nitakuja kuzitoa hapa nikipata wakati mzuri kutulia, ila kwa wenye mirija iliyopata ziba hii inazibua, inasafisha mkojo kuliko kawaida hata ukiwa na UTI ni chap Inakwenda, inaongeza hamu ya kula, kibofu kinasafichwa, hamu ya kula na mengine naamini kufikia weekend nitaleta maelezo yake hapa wakuu!!!
Naujua lkni kulipata hilo shina lake ndio mziki.Hizi huwa kama kamba kamba hutanda kwenye mitiView attachment 2286997
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Ni kweli sababu halionekani kawaida kuna hatua za kufanya ili kuliona lakini pia unaweza pata kwenye baadhi ya maduka dawa asili
Tatizo ni la mwaka sasa, nmetumia vitungu swaum na cream ya PodophyllinPolee mkuu, kwa ninavyojua ama kwa uelewa wangu hii mara nyingine huchangiwana sexual contact....
Dawa za asili zipo na za hospital pia zipo,ingawa ukisema ili lisijirudie itakupidi kua makini na maisha ya ngono unayoishi mkuu....
Kama ni tatizo sio la muda sana ama kukomaa sana tafuta ngesi itwange na kisha uwe unakunywa kwenye kimiminika chochote.
Usipofanikisha nione nitajua la kukusaidia zaidi
Nitaituma nikipata kuona ambayo haijasagwa bado, hapa niliyonayo imeshapondwa sio rahisi uifahamuPicha ya NGESI mkuu
Umeshawahi kufika hospital???Tatizo ni la mwaka sasa, nmetumia vitungu swaum na cream ya Podophyllin
Njia rahisi ya kuondoa tatizo hilo ni kutafuna karafuu mara kwa mara au chukua nusu kijiko cha unga wa karafuu weka kwenye maji ya vuguvugu kisha kunywa. Fanya hivo kutwa mara mbili kwa siku 5 hadi 7 tatizo litaisha kabisaWakuu mwenye dawa ya kuondoa harufu mbaya ya kinywa
Dawa ya jino lililooza au kupasuka ni kuling'oa tu. La, kwa matatizo mengine ya menoKarafuu ni dawa ya jino lililooza linalouma...
Unaisaga unaweka kwenye jino liinaacha kuuuma...
Na Mimi kwakuongezea kuhusu dawa ya jino linalouma.Dawa ya jino lililooza au kupasuka ni kuling'oa tu. La, kwa matatizo mengine ya meno
Unga wa mdalasini vijiko vitano vya chai
(ii.) Unga wa karafuu vijiko vitano vya chai
(iii.) Unga wa pilipili manga vijiko viwili vya chai.
(iv.) Asali 250 mls (robo Lita).
Matayarisho na matumizi yake:
Changanya unga wa karafuu (vijiko 5 vya chai), unga wa pilipili manga (vijiko 2 vya chai) na ukoroge vizuri kabisa pamoja kwenye asali (¼ lita). Halafu pigia mswaki dawa hiyo kutwa mara 2. Ikiwa meno yako ni mabovu sana basi mchanganyiko huu ndio uwe dawa yako ya meno. Ikiwa jino lako limetoboka basi chukua dawa hii na uiweke kwenye tundu hilo.
Nimechelewa Samahani mkuu. Naomba kujua kama njia hii inafanya kazi hata kwa wale ambao umri umekwenda say 65yrs+ au ni kwa yeyote?Madhara yake lakini endapo ukikosea steps si mazuri nenda mwenye muegea tafuta tunda lake ambalo bado linakua chanja chale mbili kwenye hilo tunda chanja chale mbili kwako kwenye dhakari kisha tumia kidole chako chukua maji yatayotoka kwenye chale za kwenye tunda pakaa kwenye chale za kwenye dhakari yako kisha baada ya sekunde kadhaa chukua damu ya kwenye chale ya dhakari yako kapakae kwenye chale za tunda weka alama tunda lako maana yake linavyokua na wewe unakua dhakari size unayotaka ikifika unatakiwa ukakate lile tunda hapa ndio muhimu na kwenye tahadhari zote hakikisha unakumbuka tunda na kulikata pindi utapotosheka na size unayotaka.
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Yeyote inafanya kaziNimechelewa Samahani mkuu. Naomba kujua kama njia hii inafanya kazi hata kwa wale ambao umri umekwenda say 65yrs+ au ni kwa yeyote?
Huu uzi umejaa madini sana.
Asante sana mkuu, Nashukuru kwa majibu mazuri na ya kueleweka. Ubarikiwe mno.
Karibu tena mkuuAsante sana mkuu, Nashukuru kwa majibu mazuri na ya kueleweka. Ubarikiwe mno.
Asante sana.
Karibu mkuu, karibu sana uje pia utujuze kile ujuacho, karibu sana sana.Uzi mahalumu nlokua naungojea maishani mwangu.