Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Nakushukuru sana Mkuu kwa lugha nzuri na maelezo ya kina. Mungu akubariki Asante.
 
Bhangi ipo na jina kubwa katika ishu za masikio:

Wapo wanaotumia mboga ya majani yake kusema inasaidia na wapo wanaokamulia juisi/mafuta ya mbegu yake sikioni. Atapatikana mdau wa namna ya kuiandaa kama dawa ajazie nyama
Inatibu upande gani,usikivu au maumivu?Kuna wahanga wa usikivu kwenye jamii jamani,nawahurumia sana.Anaejua atuelekeze zaidi.Pia anae fahamu matumizi ya ua la nyota ya yerusalemu kwa mtu mwenye usikivu hafifu atuelekeze nimsaidie mtu tiba huku kwenye family jaman.
 
Salaam wandugu. Mimi nasumbuliwa na bawasili ya inje nifanyeje???inanisumbua nna mwaka Sasa na nmejaribu dawa kadhaa bila mafanikio.huwa navikata na katakucha nisaidieni ndugu zangu nakosa raha....
 
Shukrani sana nimejifunza kitu kupitia bandiko hili, asante sana kwa ku changia. Mola akulipe, Amiin
 
Mwenye tiba ya pressure ya macho ya mimea macho yaliyokufa nuru kuweza kuona tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…