Unachukua ukiwa fresh kabla haujaganda,unauchukua kweny papai tunda bichi lenyewe.Uvute kwa bomba la sindano lisilo na sindano au mwino(droper) kama unao,Uingize kwenye tundu ya mbuuu,jitahidi usitapakae maeneo yaliyo zunguka mnduku coz unawasha utashindwa kuvumilia.Tena maeneo ya marinda hakikisha ni pasafi na pakavu.
Ukisha upush utomvu kwa ndani,toa bomba af tulia,ule muwasho ukianza usikune tulia tu utaisha ndani ya muda mfupi.
Kwa bahat mbaya ukijigusa na utomvu maeneo ya malinda,tumia poda nyeupe kupunguza muwasho.Hakikisha poda isipite kwenye mbuu ikaingia kwa ndani.
Na mgagani unatumiwa hvyo hvyo,baada ya kuusafisha,maji yakuoshea yakauke,ukifikicha au kuutwanga upate maji ya mmea na si yaliyo diluted na yakuoshea.Nayo utayavuta kwa droper na kuya ingza kwenye tundu.Au wengne wana yafikicha na kubandka kwenye mbuu,lakin hii haipendezi,yanababua na kuchubua.