Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Msaada wenu wanajamvi.

1. Ipi tiba ya kichomi? Hali hii hunipata upande wa kushoto, pale napofanya mazoezi ya kukimbia au kutembea umbali mrefu kwa haraka.

2. Na tiba ya maumivu mf. wa uchovu wa misuli kwenye misuli ya bega la kushoto. Kuanzia shingoni kwenda ukanda wote wa bega la kushoto.
 
Nina mdogoangu ana upungufu wa ute kwenye magoti. Anasikia maumivu makali sana hasa wakati wa mvua.

msaada
 
Nahisi nina tatizo la nguvu za kiume. Hata round mbili siendi tena.
naomba msaada jamani.

halafu mapigo ya moyo pia yako chini sana kuliko kawaida. Naomba tuendelee kusaidiana wazee najua tushasaidiana mengi
Pole sana mkuu
 
Nimekitesti kweli mkuu hakuna kilichoshindikana na kila niliyemmegea akafanya Kwa mujibu wa maelezo alifanikiwa!
Boss huwa wanasema watanzania ni wagumu kwenye hela but frankly speaking wengine tunashukuru tumeamka tumepata na kitu kiende tumboni tukisubiri kesho.

Ningekuwa na pesa ningekinunua kutoka kwako sema ndo ivo 😊
 
Nina mdogoangu ana upungufu wa ute kwenye magoti. Anasikia maumivu makali sana hasa wakati wa mvua.

msaada
Kama ni mzito aupunguze ale matunda yenye Omega 3 Kwa wingi sana na akiweza kupata RUMOXIT capsule itapendeza zaidi atapona Kwa msaada wa mwenyezi mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…