Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
KILA mahari ukiuliza watu watakuonyeshaHizi ndulele zinapatikana wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KILA mahari ukiuliza watu watakuonyeshaHizi ndulele zinapatikana wapi
Hizi ndulele zinapatikana wapi
Tumia hii dawa ya kizunguHabari zenu wakuu,ndg zangu mwenye kujua tiba asili za miwasho tusaidiana mana imekuwa mateso sasa,sipati hutulivu hata kidogo kutwa kujikuna hasa nyakati za usiku hadi niupate usingizi n kipengele
Mkuu hicho kitabu au unakiuza?Top secrete hidden book which is banned explain. View attachment 2345250
Pole sana mkuuNahisi nina tatizo la nguvu za kiume. Hata round mbili siendi tena.
naomba msaada jamani.
halafu mapigo ya moyo pia yako chini sana kuliko kawaida. Naomba tuendelee kusaidiana wazee najua tushasaidiana mengi
At least umenena kiasi maana ni kitabu kwelikweli jinsi nilivyokiomba Kwa bidii toka uturuki, nathubutu kusema hiki kitabu ni mwisho wa matatizo!kukigawa naona kama mtu anataka kunikata kichwa.utafika ngapi? Taja mwenyewe?Mkuu hicho kitabu au unakiuza?
😄😄 mi jobless nina bando tu mkuu tena la kukopa buku jero.At least umenena kiasi maana ni kitabu kwelikweli jinsi nilivyokiomba Kwa bidii toka uturuki, nathubutu kusema hiki kitabu ni mwisho wa matatizo!kukigawa naona kama mtu anataka kunikata kichwa.utafika ngapi? Taja mwenyewe?
Ngoja nikutafutie verse ya job mkuu.Wacha wenye hela waje
Shukrani Mkuu 😊Ngoja nikutafutie verse ya job mkuu.
Nimekitesti kweli mkuu hakuna kilichoshindikana na kila niliyemmegea akafanya Kwa mujibu wa maelezo alifanikiwa!Shukrani Mkuu 😊
Mkuu ungesema unakitoa kwa bei gani ili tujipimie kama nguvu ya uchumi inaruhusuNimekitesti kweli mkuu hakuna kilichoshindikana na kila niliyemmegea akafanya Kwa mujibu wa maelezo alifanikiwa!
Boss huwa wanasema watanzania ni wagumu kwenye hela but frankly speaking wengine tunashukuru tumeamka tumepata na kitu kiende tumboni tukisubiri kesho.Nimekitesti kweli mkuu hakuna kilichoshindikana na kila niliyemmegea akafanya Kwa mujibu wa maelezo alifanikiwa!
Actually watu wakitaka tuchange walau kidogo kidogo tumpooze naomba niweke kwenye list.Mkuu ungesema unakitoa kwa bei gani ili tujipimie kama nguvu ya uchumi inaruhusu
Kama ni mzito aupunguze ale matunda yenye Omega 3 Kwa wingi sana na akiweza kupata RUMOXIT capsule itapendeza zaidi atapona Kwa msaada wa mwenyezi mungu.Nina mdogoangu ana upungufu wa ute kwenye magoti. Anasikia maumivu makali sana hasa wakati wa mvua.
msaada
ni kwamba magoti hayana UTE kabisa anatembea kwa shida sana mpaka anasikia maumivu makaliKama ni mzito aupunguze ale matunda yenye Omega 3 Kwa wingi sana na akiweza kupata RUMOXIT capsule itapendeza zaidi atapona Kwa msaada wa mwenyezi mungu.