Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Iko mimea mingi ya Tiba Mbadala nitakuwa nachangia. Kwa kuanzia ni Mstafeli. Msikilize huyo mtaalamu
Your browser is not able to display this video.
 
huwa wanafanyia sana mila haya uko uchagani, kuna mtu alinambia kama mambo yangu yanagoma nichukuwe jiwe nilinuie kwamba kama mimi ni wa ardhi hii yni ( uchagani bas milango yangu ya mafanikio ifunguke alafu nirushe ktk ayo majani, kiukwel sikufanya ivo niliogopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…