Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

JINSI YA KUONDOA WEUSI KWENYE MAPAJA , SHINGONI , MAKWAPANi πŸŠπŸ‹πŸ₯₯πŸ₯’πŸ₯‘.Kuwa mweusi maeneo katika mwili has a mapajani, shingoni, makwapani sio tatizo La kiafya, lakini ni kitu kinachoboa na kuupa dosali mwili wakoπŸ˜” Hili tatizo linatooana na kutokwa na jasho jingi kupita kiasi. Na usafi hafifu au matumizi mbalimbali za kunyolea kama kiwembe au kushave. NJIA ZA KUEPUKA AU KuJITIBU .sehemu iliyo na weusi.πŸ‘Œ.

🌷 LIMAO/ NDIMUπŸ‹.Lina sifa ya kuondoa harufu na uchafu kwenye ngozi na kung'alisha MATUMIZI . Paka juisi πŸ‹ sehemu huska kisha acha dk20 ondoa kwa kitambaa kibichi. Fanya Mara 3 kwa wiki ili upate matokeo mazuri.

🌷: UTE WA ALOVERA/ msubiri. Inasifa ya kungalisha ngoziπŸ‘Œ MATUMIZI kamua ute wa alovera na paka sehemu usika na massage mpaka uweze kunyonywa na ngozi kisha Osha kwa kitambaa kibichi cha maji ya uvuguvugu fanya kila sku Mara 2 kwa matokeo mazur.

🌷TANGOπŸ₯’ lina sifa ya kuondoa uchafu na seli zilizo kufa kwa ngozi MATUMIZI paka kipande chaπŸ₯’ au juice take kisha massage kbaridi
10 kisha suuza kwa maji fanya mara2 kwa siku.


🌷MAFUTA YA NAZIπŸ₯₯ fat acid (tindi Kali) iliyopo kwenye mafuta ya Nazi inasaidia kung'arisha na kuondoa madoa meusi . Mafuta ya Nazi yanafanya kazi nzuri kwenye unyevunyevuπŸ‘Œ MATUMIZI changanya kijiko 1 cha juice ya limao ktk mafuta ya Nazi pakaa sehemu usika na acha dk 10 fanya hivi mara 1 kwa Siku.

🌷MAGANDA YA MACHUNGWA🍊 yana sifa ya kuondoa uchafu na madoa kwenye ngozi . Tengeneza unga wa maganda ya chungwa yakaushe chukua vijiko 2 vya unga wa maganda ya chungwa kicha vijiko 2 vya rose water Tengeneza had I mchanganyiko use mzito paka eneo husika ongeza na Asali mbichi itakuwa vizur zaidi acha dk 15_20 ondoa na maji baridibaridi

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ€

From Moro town
 
LEO TUANGALIE, NI JINSI GANI UNAWEZA KUMUOKOA MTU ALIYEKUFA KIMAZINGAOMBWE (MSUKULE)

Kila Chenye Uhai, Hakika Kitakufa, Hili Hakuna Wa Kulipinga .

Lakini, Kuna Baadhi Ya Vifo Huwa Vinatatanisha Sana!

Waweza Kuta Mtu Amekufa, Ana Siku 3, Lakini Ukimgusa, Bado Ana Joto!
Mwingine Hata Kutingishika, Anatingishika!

JINSI YA KUMRUDISHA MTU ALIYEKUFA KIMAZINGAOMBWE (MSUKULE):

Ukiona Mtu Kafa Kifo Kinachotatanisha, Mkahisi Yaweza Kuwa Ni Msukule, Msimlilie, Wala Msimuoshe, Fanya Hivi:

Nenda Kwenye Mgomba, Chukua Kamba Tatu Za Mgomba, Kisha Nenda Alipolazwa Marehemu.

Kirha Muweke Kama Inavyowekwa Maiti Kwenye Sanda, Tumia Shuka Nyeupe, Kisha Funga Kama Ifungwavyo Maiti, Kisha Sema:

BISMILLAHI RAHMANI RAHIIM: NAKUOMBA MWENYEEZI MUNGU KWA UWEZO WAKO NA NGUVU ULIYOIWEKA KWENYE MGOMBA, NIONESHE KILICHOLALA HAPA JUU.

Ikiwa Ni Msukule, Papo Hapo Mtaona Mabadiliko, Marehemu Hataonekana, Litabaki Limgomba !

Mkimtafuta Huyo Marehemu, Mtamuona Hapo Hapo Nyumbani, Tena Lazima Atakuwa Nyuma Ya Mlango!

Mchawi Atakimbia
Kalibuni morogoro mjini ndugu zangu πŸ™πŸ½
 

Attachments

  • images (20).jpeg
    7.4 KB · Views: 75
Mny

Mnyalu huu mti si unatoa vimatunda fulani ivi vinaliwaga. Vikiiva vinakuwa njano.
Kama hapo kwenye kamfuko kakiiva kanapasuka kanaliwa. Hii kikwetu mpaka nashindwa kuandika hapa
Exactly ndio huohuo mzee
 
Duuuh asee, Dunia ina mengi hii
 
Asalam alaikum kheri umu ndani
Tunaendelea na masomo yetu ya kutoa au kumuokoa mtu kutaka kuwekwa msukule


Niliahidi kutoa somo juu ya mtu anayetaka kuchukuliwa kimazingira 'MSUKULE'...

Ikiwa unaona mgonjwa ugonjwa wake haueleweki, hospitali madaktari wanapima hawaoni tatizo mpaka wanachanganyikiwa , rudi na mgonjwa wako nyumbani ...

Ukifika, fanya haya kwa kufuata maelekezo.

Nenda kwenye shina la mgomba, kuna vile vitoto vya mgomba ambavyo ndio kwanza vinachipua, ngo'oa hivyo vitoto vya mgomba kwa manuizi haya:

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU, NAKUOMBA KWA UWEZO WAKO NA NGUVU ULIYOIWEKA KWENYE MGOMBA HUU, IWE NI PONYO KWA MGONJWA FULANI BIN FULANI, NA IKIWA NI MAZINGIRA, NAKUOMBA MWWNYEEZI MUNGU FULANI BIN FULANI APATE SHIFFA'A"...

Ukimaliza kuomba, ngo'oa hivyo vitoto vitatu vya mgomba, rudi navyo nyumbani .

KAMGOMBA CHA KWANZA
Utakatwanga pamoja na majani ya mchawi hana akili (Pichani), utachemsha kisha zimia makaa 7 ya moto, tumia kumuogesha mgonjwa huyo aaubuhi na jioni siku 7.

KAMGOMBA CHA PILI
Changanya na mapoza aina saba, majani ya makaburini, na mchanga wa njia panda 7, chemsha nyungu ajifunulie asubuhi na jioni siku 7.

KAMGOMBA CHA TATU
Katwange, changanya na dawa iitwayo OPO, inapatikana kwenye maduka wauzayo dawa asili, majani ya mbaazi na majani ya mchawi hana akili, chemsha iive, mgonjwa atatumia kwa kuramba, sio kunywa, kwa siku 7...

Kisha mfute chale za wachawi, mpinge kinga ya nguvu ....

Sinaga kinyongo na choyo nimeupiga mwingi kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚nimewapa cha uvunguni😁😁 mshindwe wenyewe.
Kalibuni morogoro mjini ndugu zangu πŸ™πŸ½.
 

Attachments

  • images (20).jpeg
    7.4 KB · Views: 68
Mkuu habari ya leo. Kuna mjukuu wangu yani akilala utadhania anapiga miluzi
 
Mkuu me mume ninaye je hiyo dawa ni ipi? Sins tatizo la mirija ni hormonal imbalance siku hazielewk ndo maana mimba haziingi
Mkunde pori,chemsha mizizi kunywa ukiwa period then fanya matusi na mumeo sku za hatari.

Mziwaziwa


Pia ue makini na sku zako za ovulation,hizo ndo zina chance kubwa ya ww kupata mimba endapo utashiriki
 
Mm hua nina gas sana na ni mpenzi wa matikiti sana bt kwangu sion kama yanasaidia. So hua natumia sana tangawizi ndo napata unafuu mkubwa. Labda na ww ulete mrejesho kuhusu tikit na tango kutoa gas
 
Mm hua nina gas sana na ni mpenzi wa matikiti sana bt kwangu sion kama yanasaidia. So hua natumia sana tangawizi ndo napata unafuu mkubwa. Labda na ww ulete mrejesho kuhusu tikit na tango kutoa gas
M kusema ukweli gas inasumbua nikiwa nakula vyakula vyenye gas nyingi ila hua naishia kunywa maji tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…