Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Kijiko kimoja cha karafuu ya unga kwenye gras ya maziwa ni tiba ya magonjwa haya waweza ongeza na turmeric kidogo kwa tiba bora zaidi.

[emoji818]Tiba ya uzazi (ugumba)
[emoji818]Tiba ya homon kuto kuwa sawa
[emoji818]Tiba ya moyo
[emoji818]Tiba ya tumbo
[emoji818]Tiba ya ini
[emoji818]Tiba ya mapafu
[emoji818]Tiba ya pumu
[emoji818]Tiba ya mafua
[emoji818]Tiba ya kikohozi sugu
[emoji818]Tiba ya pua zilizo ziba
[emoji818]Tiba y kukosa kumbukumbu na kuto kuelewa
[emoji818]Tiba ya ges tumbon na utumbo
[emoji818]Tiba ya udhaifu wa misir
[emoji818]Tiba ya upongufu wa.madini
[emoji818]Tiba ya kibofu cha mkojo na mkojo kutoka bila ya hiyar
[emoji818]Tiba ya meno na fidhi (pia ni kinga)
[emoji818]Tiba ya macho (maono hafifu)
[emoji818]Tiba ya chunus
[emoji818]Tiba ya uvimbe wa ngozi na kumwa na mdudu
[emoji818]Tiba ya kudhibiti kiwango cha sukar ya damu na kudumisha viwango vyake
[emoji818]Tiba ya kuongeza ute kwenye maungio ya mifupa
[emoji818]kinga dhidi ya saratan
[emoji818]Tba ya baridi bronchitis Koo iliyo na dawa ya kulevya na tonsillitis
[emoji818]Tiba ya hemorrhoids na analitis
Matumizi yake yapoje ?
 
NI maziwa fresh mkuu, utachemsha na maganda yake lakini wakati wa kula utayamenyea mezani ndio ulikuwa utaratibu wa babu zetu. In fact duniani kote kuna Vita ya kuupinga uzee au tuseme binadamu anapigana ili kuaona aweze kuishi zaidi lakini katika afya yake nzuri huku mwili ukijirepea kwa kutumia vyakula vyetu vya kienyeji, karafuu imeonyesha uwezo mkubwa wa kushindana na hali hii kwa mfano Unga wa karafuu utakapouchanganya na mafuta asili ya nazi ukatumia kujipaka utashuhudia shikamoo zikipungua, handiness ya kidevu sugu kwa kunyoa ndevu itaondoka infact utastaajabu sana let practise in it.
Mafuta asili ya nazi yapoje mkuu
 
Ndugu zangu nnashida imeanza juzi tu ila adi Leo ni siku ya 4 napata maumivu makali kwenye njia ya mkojo naumia sana sijui namaliza vipi tatizo hili naombeni msaada kwa anayejua dawa ya tatizo hili.
Tatizo kama hili niliwahi kupata sikujua chanzo lakini nilianza kunywa maji mengi mfululizo kama siku tatu hivi liliisha.
 
Nini Dawa ya maumivi ya Ziwa la mama na pia kuna kuwa na kama uvimbe kwa ndani
 
Nasumbuliwa na mafua makali chanzo nikitumia kinywaji Cha baridi,maziwa,nyama yenye mafuta mengi na pia nikikutana na mazingira yenye mavumbi pamoja na baridi kali, inanitesa sana, msaada wakuu
 
Nasumbuliwa na mafua makali chanzo nikitumia kinywaji Cha baridi,maziwa,nyama yenye mafuta mengi na pia nikikutana na mazingira yenye mavumbi pamoja na baridi kali, inanitesa sana, msaada wakuu
Tumia manjano chemsha kwenye uji mwepes kunywa siku Saba adi 21 utapona.
 
Naomba Dawa ya Tatizo La Mafua Yasiyoisha, Hospitali Baada ya Vipimo wakasema sababu ni nyama za Pua. Shida Ni Katika Kipindi cha Baridi, Sehemu zenye Vumbi au sehemu zenye uchafu sana.
Mkuu mm pia hiyo Hali inanitesa sana nikinywa maziwa,kinywaji Cha baridi Yani nateseka sana, msaada kwa anaejua dawa
 
Mimi nilikuwa muhanga wa tatizo hili kwa zaidi ya miaka kumi, Nikaponea You tube kwa mdada fulani alikuwa anafundisha tiba simple sana.
Chukua Colgate ile dawa ya mswaki, Kisha chukua maji ya limao na mafuta ya nazi, changanya hadi upate mchanganyiko mzuri. Vipimo iwe ni ujazo sawa kwa kila kimoja. Kisha nyoa ndevu zako vizuri then upake kwa siku saba. Vipele vyote vitaisha. After that kila ukinyoa uwe unaitumia hiyo kama after shave yako kwa ile siku ambayo umenyoa na asubuhi yake. Ukipaka unakaa nayo dakika ishirini hadi nusu saa then unaosha kwa maji safi ya moto.

Mi nimetumia na nimepona kabisa mapele sumbufu ya ndevu. Kumbuka kila unapotumia uitengeneze upya. So unapotengeza iwe ni kidogo tu ya kutosha muda huohuo. Vipimo unaweza tumia nusu kijiko cha chai kwa kila moja au kijiko kimoja cha chai kwa kila kiungo.
Asante boss, na kuhusu hyo dawa ya meno ni lazima iwe Colgate au yoyote tu?
 
Habari wakuu.
Naomba msaada wa kujua dawa ya mtu aliyepata Goita / Rovu( kuvimba shingoni ) Atumie nini?
 
Kule kwetu Iringa kuna mti unaitwa Yugiyugi ukilikata hutoa utovu kama maziwa hivi, ukipaka kwenye chunjua (wart) ni siku mbili tu inapotea kabisa permanently. Nimejaribu kutafuta jina lake la kiswahili kiukweli nimeshindwa kabisa, na sina picha. Anayeujua huu mti kwa kiswahili atuambie.
Mti unaoitwa Yugiyugi huu hapa:
 

Attachments

  • IMG_20221114_123922.jpg
    IMG_20221114_123922.jpg
    603.7 KB · Views: 86
  • VID_20221114_124852.3gp
    VID_20221114_124852.3gp
    19.5 MB · Views: 33
2●NYANI: Kuna mtu aliuliza dawa ya utajiri sijui Kizibo fanya hivi ni mjarabu hii tafta nyani kata kichwa weka chumvi puani mdomoni masikioni na shingoni ulipokata kusudi isinuke ..weka kichwa hiko chumba maalum na uwe walala hapo ili ukiinuka usingizini asubuh basi cha kwanza kukiona ile ni uso wa hiko kichwa cha nyani kabla hujawaona wanadamu Inshallah kwa siku tu baada ya hapo kama si huyo huyo ndani basi nje utakutana na mtu na atakupa hela au atakwambia nishikie mzigo wangu hata ikiwa ni ktk usafiri halaf atapotea kiajabu na kukuachia mzigo huo..2016 iliwork kwa jamaa mmoja baada ya hapo mwenyewe nilitafta kichwa cha nyani sijafanikiwa kukipata.emagin unampa mtu elim anafanikiwa wew unabaki ulivo [emoji23][emoji23][emoji23]

Ubongo wake nyani na ubongo wa fisi asikwambie mtu hii ni tiba ya kichaa kilichoshindikana ni kufukiza tu...[/QUOTE]

Kichwa Cha nyani!! tuwasiliane mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ewaaa exactly [emoji817]!! Umeupata wapi huu mti mkuu?
Mkuu, Imejiotea yenyewe maporini huku. Huku kwetu mti huu unaogopwa sana kwani utomvu wake ukikudondokea kwenye ngozi utawashwa sana na ole wako utomvu wake ukuingie machoni - timbwili lake ni balaa. Lazima ukamwone daktari
 
Mkuu, Imejiotea yenyewe maporini huku. Huku kwetu mti huu unaogopwa sana kwani utomvu wake ukikudondokea kwenye ngozi utawashwa sana na ole wako utomvu wake ukuingie machoni - timbwili lake ni balaa. Lazima ukamwone daktari
Huo utomvu ni dawa ya chunjua, huwa unapakwa palepale kwenye chunjua na sio sehemu isiyohusika.
 
Back
Top Bottom