Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani


Bro ni maziwa fresh au mtimdi
 
Uko moro mjini maeneo gani, niko mjni pia.
 
Kuna àina 32 za mtu kuchukuliwa Msukule,si kila anayechukuliwa Ni mgomba huwekwa ,kuna comptent wachawi katika kazi zao ,hawabahatishi.
Nimetolea mfano wa mgomba tu mkuu ila hi njia ata wachukue kwa stail gan inaleta majibu chap tu na kilicho wekwa apo kitaoneka uwe mgomba ama laa na nimeshasaidia watu watatu kwa njia hii mkuu,ivyo najua ninacho kisema🙏🏽
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…