Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

RIMBWATA LA KUMLUDISHA MPENZI NA KUONDOA NUKSI.

Chukua punje Saba za thomu bila kuzimenya twanga weka kwenye sufuria , Chukua majan ya chai kijiko kimoja weka umo,weka maji lita tano kwenye sufuria chemsha huo mchanganyiko ukichemka ipua.
Tumia kujifusha ndan ya dk 5 ukimaliza jifusha kayaoge Ayo maji kutwa mara 3 ila kujifusha mala moja tu.
Huu sio uchawi ila n silaha ya mapambano[emoji23][emoji23].
Ukifanya kwa kumuonea mtu Mimi simo Wana zengo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mana hi n khun [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].
 
RIMBWATA LA KUMLUDISHA MPENZI NA KUONDOA NUKSI.

Chukua punje Saba za thomu bila kuzimenya twanga weka kwenye sufuria , Chukua majan ya chai kijiko kimoja weka umo,weka maji lita tano kwenye sufuria chemsha huo mchanganyiko ukichemka ipua.
Tumia kujifusha ndan ya dk 5 ukimaliza jifusha kayaoge Ayo maji kutwa mara 3 ila kujifusha mala moja tu.
Huu sio uchawi ila n silaha ya mapambano[emoji23][emoji23].
Ukifanya kwa kumuonea mtu Mimi simo Wana zengo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mana hi n khun [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] kizungumkuti hizi zingine ni kamba

Sent from my TECNO CG7 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kumuelewa Mtu asiyejua kutofautisha R na L [emoji849]
 
Thomu ni nini mkuu?
 
Dawa ya sili ya kuongeza hamu ya kufanya mapenzi jamani ni nini tusaidiane?

mi nikifanya Mara 1 nakaa wiki 2 sina hamu tena![emoji3062][emoji3062][emoji29][emoji29]
Umeoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…