mbota
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 1,054
- 585
Amepima Kansa ya ziwa,moja Ni hiyo dalili
Ndio x ray imeseonyesha dalili ya mastitis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amepima Kansa ya ziwa,moja Ni hiyo dalili
Ypo kila mahali jina nimetajYanaitwaje haya majani na yanapitikana wapi? Nina mtoto anadhoofu sana na hataki kula kabisa Magical power ,Crocodiletooth
Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
Huo msentens wote uloandika ungekua ushamtajia jina la hayo majaniYpo kila mahali jina nimetaj
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] kizungumkuti hizi zingine ni kambaRIMBWATA LA KUMLUDISHA MPENZI NA KUONDOA NUKSI.
Chukua punje Saba za thomu bila kuzimenya twanga weka kwenye sufuria , Chukua majan ya chai kijiko kimoja weka umo,weka maji lita tano kwenye sufuria chemsha huo mchanganyiko ukichemka ipua.
Tumia kujifusha ndan ya dk 5 ukimaliza jifusha kayaoge Ayo maji kutwa mara 3 ila kujifusha mala moja tu.
Huu sio uchawi ila n silaha ya mapambano[emoji23][emoji23].
Ukifanya kwa kumuonea mtu Mimi simo Wana zengo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mana hi n khun [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].
Chukua luka😂😂[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] kizungumkuti hizi zingine ni kamba
Sent from my TECNO CG7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Chukua luka[emoji23][emoji23]
Sijawahi kumuelewa Mtu asiyejua kutofautisha R na L [emoji849]RIMBWATA LA KUMLUDISHA MPENZI NA KUONDOA NUKSI.
Chukua punje Saba za thomu bila kuzimenya twanga weka kwenye sufuria , Chukua majan ya chai kijiko kimoja weka umo,weka maji lita tano kwenye sufuria chemsha huo mchanganyiko ukichemka ipua.
Tumia kujifusha ndan ya dk 5 ukimaliza jifusha kayaoge Ayo maji kutwa mara 3 ila kujifusha mala moja tu.
Huu sio uchawi ila n silaha ya mapambano[emoji23][emoji23].
Ukifanya kwa kumuonea mtu Mimi simo Wana zengo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mana hi n khun [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].
Thomu ni nini mkuu?RIMBWATA LA KUMLUDISHA MPENZI NA KUONDOA NUKSI.
Chukua punje Saba za thomu bila kuzimenya twanga weka kwenye sufuria , Chukua majan ya chai kijiko kimoja weka umo,weka maji lita tano kwenye sufuria chemsha huo mchanganyiko ukichemka ipua.
Tumia kujifusha ndan ya dk 5 ukimaliza jifusha kayaoge Ayo maji kutwa mara 3 ila kujifusha mala moja tu.
Huu sio uchawi ila n silaha ya mapambano[emoji23][emoji23].
Ukifanya kwa kumuonea mtu Mimi simo Wana zengo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mana hi n khun [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].
Thomu ni nini mkuu?
Okay sawa ila ina matokeo kama ulivyoelekeza au kamba?Ni kitunguu swaumu mkuu[emoji120]
Kama Ni kamba si unaluka tu mkuu mazoezi Ni chakula cha akili😂😂😀Okay sawa ila ina matokeo kama ulivyoelekeza au kamba?
[emoji3][emoji3]Kama Ni kamba si unaluka tu mkuu mazoezi Ni chakula cha akili[emoji23][emoji23][emoji3]
Umeoa?Dawa ya sili ya kuongeza hamu ya kufanya mapenzi jamani ni nini tusaidiane?
mi nikifanya Mara 1 nakaa wiki 2 sina hamu tena![emoji3062][emoji3062][emoji29][emoji29]
Ndio nina mke. Tena bado mgeni kabisaUmeoa?