Kwema ndgu,Nmsaada dawa ya mtoto ana kikohozi kikavu kimedumu mda mrefu zaidi ya mwezi ,dawa za hospital zinaleta ahueni kidogo Tena hali inajirudiaNdugu zangu mwenye shida aseme apa tuendelee kuwapa dawa,naona mme poa (kimyaaa) au mmeshapona wote[emoji2375]
Ndugu zangu mwenye shida aseme apa tuendelee kuwapa dawa,naona mme poa (kimyaaa) au mmeshapona wote[emoji2375]
Ndugu zangu mwenye shida aseme apa tuendelee kuwapa dawa,naona mme poa (kimyaaa) au mmeshapona wote[emoji2375]
Chukua kikombe kimoja Cha maji ya moto weka kijiko kimoja Cha asali na habatsauda ya mafuta kijiko kimoja.
Kisha atumie kunywa asubui kabla ajala chochote na jioni wakat wa kulala siku 7 inshallah [emoji2972] atakua sawa,kama pia hospital kimeshindika unaweza ukaja tukaangalia pia tujue shida n nini[emoji1431]
Dawa ya saratani ya tezi dumeUmeuliza nn ndugu yangu nikumbushe
Mkuu ipo dawa ya kutibu maradhi ya tezi dume dawa za asili na mtu akapona kabisa ukihitaji nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.Dawa ya saratani ya tezi dume
Kuna dawa ya kunywa na kupaka sehemu husika.Kwa hapa hadharani utadanganywa tu mwishowe upake ni vitu vya ajabu uambulie kansa.Nitumie ujumbe binafsi nitakusaidia.Bawasili bado n tatizo
Kuna dawa ya kunywa na kupaka sehemu husika.Kwa hapa hadharani utadanganywa tu mwishowe upake ni vitu vya ajabu uambulie kansa.Nitumie ujumbe binafsi nitakusaidia.
Chia seed, zinalimwa Bukoba, kunywa na maji.Dawa ipi au mchanganyiko upi unaweza kunisaidia kupunguza uzito?
Tukiliweka pembeni suala la diet na mazoezi.
Mimi ni mtaalam siyo kama unavyofikri.Ninayo taaluma ya dawa za mimea kwa level ya chuo kikuu na nimesajiliwa na baraza la dawa la tiba asili na tiba mbadala linalosimamiwa na wizara ya afya.Kwa hiyo ninafahamu namna na majira ya uvunaji wa dawa,uandaaji wake na mpaka uhifadhi wake ili mmea uliovunwa uendelee kuhifadhi dawa iliyoko ndani yake.Si kila mmea tiba unaweza kuwa ni dawa,inategemeana na uandaaji wake maana unaweza kuharibu dawa wakati wa uandaaji wake.Mfano unaweza kutumia mlonge na usipate matokeo katika shida yako,kumbe unatumia makapi bila kujua nguvu yake ilishaisha kwa kukosea kanuni zake za uvunaji na uandaaji wake.Weka kama wengine wawekavyo hapa kwa manufaa ya wengi.
Na kipi cha ziada useme za wengine aambulie kansa na ya kwako asiambulie kansa?
Mimi ni mtaalam siyo kama unavyofikri.Ninayo taaluma ya dawa za mimea kwa level ya chuo kikuu na nimesajiliwa na baraza la dawa la tiba asili na tiba mbadala linalosimamiwa na wizara ya afya.Kwa hiyo ninafahamu namna na majira ya uvunaji wa dawa,uandaaji wake na mpaka uhifadhi wake ili mmea uliovunwa uendelee kuhifadhi dawa iliyoko ndani yake.Si kila mmea tiba unaweza kuwa ni dawa,inategemeana na uandaaji wake maana unaweza kuharibu dawa wakati wa uandaaji wake.Mfano unaweza kutumia mlonge na usipate matokeo katika shida yako,kumbe unatumia makapi bila kujua nguvu yake ilishaisha kwa kukosea kanuni zake za uvunaji na uandaaji wake.
Kwa hiyo ndugu nilichoandika ninakijua!
Samahani Mkuu, tunaomba ujikite kwenye mada. Na usitumie hii thread kufanya Matangazo kwani jukwaa la matangazo lipo.Kwa wale wanaume wanazaliwa na sehemu za kiume ambazo ni ndogo kiasi cha kushangaza, na hazikuwi kiasi ni aibu hata kumtongoza mwanamke yupo fundi anayemudu kazi hiyo wa uhakika kwa siku 14 tu, anagharama kidogo 250,000/-lakini ataondoa fedheha yako yote kwa 100%,kwa maelekezo inbox nikuelekeze ukamwone!
Picha yake, au jina lingine.mkuu hiyo ni dalili ya ngiri, tafuta mizizi ya mtunguja chemsha na maji kunywa kikombe mara 3 kwa siku kwa muda wa siku 3.