Kuna aina ya viazi ila si viazi tunaita hivyo kwenye tiba sababu inafanana na viazi kama unaonaga kuna vikamba kamba kwenye miti mikubwa havinaga shina kwa macho ya kawaida shina lake huwa linakua na kama kiazi hivi hii uchimbiwa kwenye uwanja kwa manuizi muda wa usiku ukiwa umefumba macho baada ya hapo umemaliza haitaonekana nyumba yako na wezi wala wanga,pia hii huchanjiwa wezi wale ambao wanaiba hawaonekani au wanaotafutwa anaemtafuta anafika anamuuliza huyo huyo mtu nilimuona fulani hapa muda si mrefu ameelekea wapi hutumika sana hivi viazi vya shina
Sent from my SM-N960U using
JamiiForums mobile app