Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Zipo nyingi zipo za kuwapiga shoti wakisogea au pita karibuIPO iyo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo nyingi zipo za kuwapiga shoti wakisogea au pita karibuIPO iyo mkuu
mwaga mchele mkuuZipo nyingi zipo za kuwapiga shoti wakisogea au pita karibu
nitamwaga hapa acha tupate jina lake la kibongo, pia kuna maajabu ya soda ya fanta na mdalasiniHayo matatizo ni bora zaidi unge ya orodhesha ili na sisi tupate kuyafahamu.
Hii soda ya fanta na mdalasini inakuwaje?nitamwaga hapa acha tupate jina lake la kibongo, pia kuna maajabu ya soda ya fanta na mdalasini
Itapendeza ukitoa na matumizi ya hilo bay leaf.Wakuu kuna majani yanaitwa bay leaf mwenye kujua yanapopatikana maana nimeambiwa ni dawa ya matatizo kibao ya kiroho
Sawasawa.Hapo me nachagua atafune mbichi ndio njia rahisi.Ni pendekezo, anaweza kuitafuna kama salad, au kuiandaa hiyo mboga kama wenyeji wafanyavyo[waulize].
Yote kwa yote afanye apate hivyo viinilishe na virutubisho katika hiyo mboga kama chakula. Maelezo mengimengi yanaonesha itafaa.
Kwenye viporipori pugu chanika etcHii miti dar hii inapatikana wapi
Ebu Andika haya katika karatasi nyeupe uone kama watabeba,
SATOR
AREPO
TENET
OPERA
ROTAS
KWA wino mweusi tii.
nitamwaga hapa acha tupate jina lake la kibongo, pia kuna maajabu ya soda ya fanta na mdalasini
Hayana muda wa kuandika, yanazuia nguvu za kiza, na endapo ngombe amelogwa asitoe maziwa kuandika kwenye karatasi akiila tu ataanza toa maziwaMkuu
i) hayo maneno nayaandika kwa mtindo huo huo (kushuka chini)??
ii) Na nikishayaandika hiyo karatasi naiweka wapi??
iii) Yanaandikwa siku na muda gani??
Kama unamahela mengi afanyaje jamani? Ha ha ha!Tupe ya mfarakano boss, Yani Ile unakuta mtu kakuganda, hataki kukuacha.
Nimeuliza maswali ma3 mkuu jibu yoteHayana muda wa kuandika, yanazuia nguvu za kiza, na endapo ngombe amelogwa asitoe maziwa kuandika kwenye karatasi akiila tu ataanza toa maziwa
Ndulele siufaham mkuu!!Kabla ujasafiri au kupanda basi ukichukua ndulele ukaweka mfukoni au kwenye bag hio gari unalosafiri nalo halionekani kwenye radar za wale wapumbavu watoa kafara za ajali ya mabus. Ukiwa ndani ya bus huku mnasafiri ukaomba dua au ukafanya maombi hata ya kimoyo moyo mtafika salama, mtu yeyeto mwenye nguvu ya Mungu au ya dhidi ya nguvu za giza akiwa kwenye bus wachawi hawawezi sababisha ajali wanakuwa awalioni kwenye radar zao, na hata wakifanikiwa kuleta ajali utatoka salama
Umeshazaliwa na roho nzuri kwa wengine huna jinsi, ukioa oa mke mchamungu yeye atakusaidia pia jizingue hata kwa kuogea maji ya bahari yanayoondoka, halafu Subiri mwezi ujae wahi chukua maji wakati bahari imejaa ogea!Yes nahisi nimefungwa mahala nataka nijikomboe Kila nipato pesa Pepo wa ulevi na kugawa Hawa pesa ovyo ananiandama nikikwama mie hua Sina msaidizi