Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

IMG_20250202_175605.jpg
 
Mtume wenu pedophile Muhammad na Aisha ule wayi
Hauna akili , hapa ndio mwisho wa majadiliano ya Mimi na wewe maana nimekutaka ushahidi wa kwamba Allaah ameamrisha hivyo haujaweka sasa mtu akiwa mjinga kwa levo uliyofikia hastahili kujibiwa.
 
Hauna akili , hapa ndio mwisho wa majadiliano ya Mimi na wewe maana nimekutaka ushahidi wa kwamba Allaah ameamrisha hivyo haujaweka sasa mtu akiwa mjinga kwa levo uliyofikia hastahili kujibiwa.
Unathibitisha pedophile Muhammad kumuoa Aisha na miaka sita sio amri ya Allah

Sasa tujuze alutoa wapi?
 
Unathibitisha pedophile Muhammad kumuoa Aisha na miaka sita sio amri ya Allah

Sasa tujuze alutoa wapi?
Ndugu Mokiti, usiwe kwenye kukashifu usivyojua , Bora usome biblia itakusaidia kwa dini yako. Achana na dini za watu .
 
Ndugu Mokiti, usiwe kwenye kukashifu usivyojua , Bora usome biblia itakusaidia kwa dini yako. Achana na dini za watu .
Wa kumpuuza tu simQuote tena Wala kumjibu kwa sababu hajui kanuni za majadiliano , na dini imeelekeza wanapokuja watu wa Shari usifanye nao mijadala wapuuze mpaka watakapokuja kwa njia ya adabu.
 
Kwa ufupi kwa Faida ya wote , hakuna mahala katika Qu'ran Wala Hadith imetaja umri wa kuoa Wala kuolewa bali mtu anaweza kuoa na kuolewa katika umri wowowte ule , ila kuishi kama Mke na Mume mpaka bale ambapo wote watapofika umri wa baleghe(washapevuka)

Hata Mimi naweza sasa kumchumbia mtoto wa miaka hata mitatu kwa Wazazi wake kwamba awe Mke wangu kwa baadae , ila na yeye kwa hiyo baadae alipata akili ana hiari ya kuendelea na huo mkataba au kuuvunja yaani halazimishwi.


Jamaa nimemwambia aweke ushahidi wa umri maana amespecify umri kuwa miaka 6 ameshindwa , sasa wajinga kama hao ambao wanadi kitu kisha wakiombwa ushahidi wanalet BLA BLA ni wakuachana nao katika majadiliano.
 
Kwa ufupi kwa Faida ya wote , hakuna mahala katika Qu'ran Wala Hadith imetaja umri wa kuoa Wala kuolewa bali mtu anaweza kuoa na kuolewa katika umri wowowte ule , ila kuishi kama Mke na Mume mpaka bale ambapo wote watapofika umri wa baleghe(washapevuka)

Hata Mimi naweza sasa kumchumbia mtoto wa miaka hata mitatu kwa Wazazi wake kwamba awe Mke wangu kwa baadae , ila na yeye kwa hiyo baadae alipata akili ana hiari ya kuendelea na huo mkataba au kuuvunja yaani halazimishwi.


Jamaa nimemwambia aweke ushahidi wa umri maana amespecify umri kuwa miaka 6 ameshindwa , sasa wajinga kama hao ambao wanadi kitu kisha wakiombwa ushahidi wanalet BLA BLA ni wakuachana nao katika majadiliano.

Kwa hiyo sheria iliyopitishwa Iraq ni batili?

Hapo para 2. Ni haki na halali kuingia mkataba wa uchumba na minor?
 
Rejea Sheria iliyopitishwa Iraq
Kwani iraqi ni dini au nchi? Mbona kuna vitu munachanganya kati ya sheria za nchi na dini? Kwahy vitcan kuruhusu ndoa za mashoga maan yake ni wakristo munasapoti ushoga si ndio?
 
Kwani iraqi ni dini au nchi? Mbona kuna vitu munachanganya kati ya sheria za nchi na dini? Kwahy vitcan kuruhusu ndoa za mashoga maan yake ni wakristo munasapoti ushoga si ndio?
Iraq imefuata suna za Muhammad, mbora wa waislamu kuoa mtoto wa miaka 6

Wewe unaepinga unampinga Muhammad
 
Assalam'aleikum...

Karibuni wote katika sehemu rasmi hapa Jf ya kuelimishana na kuzinduana na kupata maarifa kupitia picha za nukuu na picha zinazohusisha dini ya kiislamu . Baada ya pilipilika mabalimbali ni vyema kupata kitu hata kidogo kitachoongeza kitu katika siku yako na pengine jambo kitu kidogo kinaweza kuwa na manufaa makubwa kwa mtu..

Moja jambo ambalo ningependa kuhusia ni tukumbuke kutubia na kuomba msamaha kwa Allah mara kwa mara ,kwani tumepewa fursa kubwa ya kurekebisha mambo yetu kwa kutubia na kuomba msamaha ila wengi tunaghafilika kwa kudhani muda tunao wa kutosha hatimaye mauti huja ghafla bila ya kutubia toba ya kweli na kusimama katika hali ya sawa na hii ni hasara kubwa kabisa.View attachment 2431351

View attachment 2305977

View attachment 2305978
Mashallah, Allah akuongoze Amin
 
Back
Top Bottom