Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

Iraq siyo Islamic country?
Ndio maana Wagalatia mnapotea hovyo sababu za kufuata watu , sisi tunawafikiana na mtu endapo atawafikiana na dini.

Hata ikiwa Islamic County hata mtu awe Sheikh mkubwa Duniani akisema kitu au kuamrisha kinyume na dini hatutakuwa pamoja nae kwa hiyo hoja kwamba Islamic country au sio ni Nonsensical, hoja ya kweli ni kwamba ipo kwenye Dini au la ...
 
Kwa hiyo sheria iliyopitishwa Iraq ni batili?

Hapo para 2. Ni haki na halali kuingia mkataba wa uchumba na minor?
Kuspecify umri ni batili , nitakubali mpaka mtu alete hoja hapa Qur'an au hadithi imetaja.

Kuingia kwenye mkataba wa ndoa na mtoto ni haki tokea Zamani hakuna shida , hata Africa Zamani unaweza kukuta Koo Fulani inaweka oda mtoto hata kabla kuzaliwa kwamba akizaliwa wakike ataozeshwa na mtu Fulani katika familia Fulani , basi mkataba unapita Kisha wakikua wanaenda kuishi maisha Yao ya Ndoa
 
Ndio maana Wagalatia mnapotea hovyo sababu za kufuata watu , sisi tunawafikiana na mtu endapo atawafikiana na dini.

Hata ikiwa Islamic County hata mtu awe Sheikh mkubwa Duniani akisema kitu au kuamrisha kinyume na dini hatutakuwa pamoja nae kwa hiyo hoja kwamba Islamic country au sio ni Nonsensical, hoja ya kweli ni kwamba ipo kwenye Dini au la ...
Sharia ituwekwa kutoka kwenye koran na sunah za Muhammad

Sasa wewe nani umpinge Muhammad kuoa mtoto wa miaka 6
 
Akili kitu muhimu sana , mtu ameambiwa aweke ushahidi anakimbia wa kuspecify umri katika maaandiko kashindwa.

Na ameambiwa kuoa hakuna shida ni mkataba hata chini ya umri huo mtu anaweza , ila kuishi kama Mke na Mume mpaka pale tu watakapo wakati sahihi kwa Hilo jambo.

Sasa ukikaza fuvu shauri yako na usichojua kuwa Kadri unavyozidi kuja humu kujaza comments ndivyo unauoa huu Uzi trend ukae juu na watu wengi zaidi kuona na kupata kujifunza kheri nyingi za Uislamu.
 
Mokiti endelea tushakupuuza endelea kuupa Kiki huu Uzi maana ukiwa active comments zinavyoongezeka unazidi kuwa juu kwenye trends na watu wengi zaidi kujua kheri za Uislamu.
 
Ndio maana Wagalatia mnapotea hovyo sababu za kufuata watu , sisi tunawafikiana na mtu endapo atawafikiana na dini.

Hata ikiwa Islamic County hata mtu awe Sheikh mkubwa Duniani akisema kitu au kuamrisha kinyume na dini hatutakuwa pamoja nae kwa hiyo hoja kwamba Islamic country au sio ni Nonsensical, hoja ya kweli ni kwamba ipo kwenye Dini au la ...

Mimi si mgalatia, ni mswahili kama wewe. Sema niko tofauti na wewe, kwa sababu mimi si mfuasi wa vyombo vinavyo eneza desturi, mila na tamaduni za watu kama uislam

Mbona mtume mudi kasema mambo mengi sana nje ya kuruwan, lkn bado mnaifuata.
 
Kuspecify umri ni batili , nitakubali mpaka mtu alete hoja hapa Qur'an au hadithi imetaja.

Kuingia kwenye mkataba wa ndoa na mtoto ni haki tokea Zamani hakuna shida , hata Africa Zamani unaweza kukuta Koo Fulani inaweka oda mtoto hata kabla kuzaliwa kwamba akizaliwa wakike ataozeshwa na mtu Fulani katika familia Fulani , basi mkataba unapita Kisha wakikua wanaenda kuishi maisha Yao ya Ndoa

Hii para 2. Unaelewa ulicho andika?
 
Iraq siyo Islamic country?
Fuatilia wanatumia sheria gani, watu munashindwa kutofautisha kati ya sheria za uislamu na miji yenye waarabu wengi, sheria za uislamu zote zipo kweny qur an na sunna toka kale hazipangwi mahakmn wala bungeni, na qur an haijaweka umri maalum wa mtu kuoa au kuolewa
 
Fuatilia wanatumia sheria gani, watu munashindwa kutofautisha kati ya sheria za uislamu na miji yenye waarabu wengi, sheria za uislamu zote zipo kweny qur an na sunna toka kale hazipangwi mahakmn wala bungeni, na qur an haijaweka umri maalum wa mtu kuoa au kuolewa
Muhammad kuoa katoto Cha miaka 6 sio Sunna , kama sio Sunna inamaana Muhammad hakuelekezwa na Allah kuoa katoto
 
Muhammad kuoa katoto Cha miaka 6 sio Sunna , kama sio Sunna inamaana Muhammad hakuelekezwa na Allah kuoa katoto
Toa ushahid, maneno hayo umekitoa katika kitabu gani? Hakuna dini ambayo imedhibitiwa kwa kuandikwa kila kitu kuanzia historia za mitume wake na maswahaba zake, wewe tuambie hayo maneno umetoa kitabu gan?
 
Toa ushahid, maneno hayo umekitoa katika kitabu gani? Hakuna dini ambayo imedhibitiwa kwa kuandikwa kila kitu kuanzia historia za mitume wake na maswahaba zake, wewe tuambie hayo maneno umetoa kitabu gan?
Vitabu vyenu na unajua wazi Aisha alikuwa na miaka 6
 
Lete hicho kitabu baba usiishi kwa kuriri maneno kutoka kwa watu wenye chuki na dini ya haqqi
Sahih Muslim 817-875 A.D. 261 A.H.
2c. "(5981) 'A'isha aliripoti kwamba alikuwa akicheza na mwanasesere mbele ya Muhammad na wakati watoto wenzake walipo muona mtume waliondoka (nyumbani) kwa sababu walihisi aibu Mbele ya Muhammad. na Muhammad akawaruhusu waendelee kucheza nae
 
Fuatilia wanatumia sheria gani, watu munashindwa kutofautisha kati ya sheria za uislamu na miji yenye waarabu wengi, sheria za uislamu zote zipo kweny qur an na sunna toka kale hazipangwi mahakmn wala bungeni, na qur an haijaweka umri maalum wa mtu kuoa au kuolewa

Waarabu wakiwa wengi si wanatumia sharia yao? Sasa Iraq tayari wanasema uanze kuchumbia akiwa na miaka 9
 
Back
Top Bottom