Ndio maana Wagalatia mnapotea hovyo sababu za kufuata watu , sisi tunawafikiana na mtu endapo atawafikiana na dini.Iraq siyo Islamic country?
Kuspecify umri ni batili , nitakubali mpaka mtu alete hoja hapa Qur'an au hadithi imetaja.Kwa hiyo sheria iliyopitishwa Iraq ni batili?
Hapo para 2. Ni haki na halali kuingia mkataba wa uchumba na minor?
Sharia ituwekwa kutoka kwenye koran na sunah za MuhammadNdio maana Wagalatia mnapotea hovyo sababu za kufuata watu , sisi tunawafikiana na mtu endapo atawafikiana na dini.
Hata ikiwa Islamic County hata mtu awe Sheikh mkubwa Duniani akisema kitu au kuamrisha kinyume na dini hatutakuwa pamoja nae kwa hiyo hoja kwamba Islamic country au sio ni Nonsensical, hoja ya kweli ni kwamba ipo kwenye Dini au la ...
Ndio maana Wagalatia mnapotea hovyo sababu za kufuata watu , sisi tunawafikiana na mtu endapo atawafikiana na dini.
Hata ikiwa Islamic County hata mtu awe Sheikh mkubwa Duniani akisema kitu au kuamrisha kinyume na dini hatutakuwa pamoja nae kwa hiyo hoja kwamba Islamic country au sio ni Nonsensical, hoja ya kweli ni kwamba ipo kwenye Dini au la ...
Kuspecify umri ni batili , nitakubali mpaka mtu alete hoja hapa Qur'an au hadithi imetaja.
Kuingia kwenye mkataba wa ndoa na mtoto ni haki tokea Zamani hakuna shida , hata Africa Zamani unaweza kukuta Koo Fulani inaweka oda mtoto hata kabla kuzaliwa kwamba akizaliwa wakike ataozeshwa na mtu Fulani katika familia Fulani , basi mkataba unapita Kisha wakikua wanaenda kuishi maisha Yao ya Ndoa
🙏🏽
Amin SheikhAamiyn , na wewe pia aamiyn
SinaTurushie ya kiswahili
Sina
Sibishani na kafiri una najisiBro sasa mnataka mfaidi wenyewe, waarabu wa nantumbo
Fuatilia wanatumia sheria gani, watu munashindwa kutofautisha kati ya sheria za uislamu na miji yenye waarabu wengi, sheria za uislamu zote zipo kweny qur an na sunna toka kale hazipangwi mahakmn wala bungeni, na qur an haijaweka umri maalum wa mtu kuoa au kuolewaIraq siyo Islamic country?
Muhammad kuoa katoto Cha miaka 6 sio Sunna , kama sio Sunna inamaana Muhammad hakuelekezwa na Allah kuoa katotoFuatilia wanatumia sheria gani, watu munashindwa kutofautisha kati ya sheria za uislamu na miji yenye waarabu wengi, sheria za uislamu zote zipo kweny qur an na sunna toka kale hazipangwi mahakmn wala bungeni, na qur an haijaweka umri maalum wa mtu kuoa au kuolewa
Toa ushahid, maneno hayo umekitoa katika kitabu gani? Hakuna dini ambayo imedhibitiwa kwa kuandikwa kila kitu kuanzia historia za mitume wake na maswahaba zake, wewe tuambie hayo maneno umetoa kitabu gan?Muhammad kuoa katoto Cha miaka 6 sio Sunna , kama sio Sunna inamaana Muhammad hakuelekezwa na Allah kuoa katoto
Vitabu vyenu na unajua wazi Aisha alikuwa na miaka 6Toa ushahid, maneno hayo umekitoa katika kitabu gani? Hakuna dini ambayo imedhibitiwa kwa kuandikwa kila kitu kuanzia historia za mitume wake na maswahaba zake, wewe tuambie hayo maneno umetoa kitabu gan?
Lete hicho kitabu baba usiishi kwa kuriri maneno kutoka kwa watu wenye chuki na dini ya haqqiVitabu vyenu na unajua wazi Aisha alikuwa na miaka 6
Sahih Muslim 817-875 A.D. 261 A.H.Lete hicho kitabu baba usiishi kwa kuriri maneno kutoka kwa watu wenye chuki na dini ya haqqi
Fuatilia wanatumia sheria gani, watu munashindwa kutofautisha kati ya sheria za uislamu na miji yenye waarabu wengi, sheria za uislamu zote zipo kweny qur an na sunna toka kale hazipangwi mahakmn wala bungeni, na qur an haijaweka umri maalum wa mtu kuoa au kuolewa