Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo inboxHatari sana yani changamoto za ndoa wapitie wanawake ila wanaoumia na kujifanya wanajali ni wanaume, siku wanawake wakija kushituka na kulijua lengo hasa la wanaume kujifanya wanajali matatizo ya wanawake basi tutakuwa tumepiga hatua moja mbele, kwa sasa endeleeni kudanganywa kwamba eti mwanamke akishafika umri fulani hajaolewa basi ana matatizo (ambayo mpaka leo hayajulikani ni yepi)
Hongera kwa kutimiza hitaji la moyo wakoInategemea sasa na mtu huwezi mlazimisha..mm nilikua napenda sana kuolewa jamani 😆 😆 😆 😆 🤣 🤣