Uzi maaluumu wa kupeana hints za hii kazi wanayoenda kufanya interview "Editor II" Taasisi ya elimu (TIE))

Uzi maaluumu wa kupeana hints za hii kazi wanayoenda kufanya interview "Editor II" Taasisi ya elimu (TIE))

kingito

Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
10
Reaction score
3
Wakuu kwema??
Naomba nilete huu uzi hapa ili tuweze kupeana hints za hii job
Ukwl kwamba hii job imechukua watu wa fani tufauti tofauti kupiga hii interview
Naijiuliza ili uweze kudufua hii job unahitaji kujikita kwenye nini hasa?
Common predictable question zinaweza kuwa kama zipi?
Hii practical inaweza kujikita kwenye nini hasa?
Mwenye lile tangazo la kazi anaweza kushea hapa.
 

Attachments

  • Screenshot_20241128_033210_Chrome.png
    Screenshot_20241128_033210_Chrome.png
    286.7 KB · Views: 5
Oya kaka nmeitwa pia kama una lile tangazo la hii kqzi naliomba tuone duties na responsibilities au nicheck whtsap 0755105830 tupeane hints
 
Back
Top Bottom