Brother mbona unazingua?Nguruwe wewe
moderetors njooni huku kuna mtu ananisimbuaBrother mbona unazingua?
Basi yaishe, this interview is overmoderetors njooni huku kuna mtu ananisumbua
Mwenzagu kakataa intavyuu. Haya twanga swali lakoUkiwa unaendelea kujiitanvyuu nataka nikutwange swali kidogo
Kitu cha Tarime kimesimama. Hata Arusha wengi wanatoa Tarime. Chato wanatoa tabora. Kijiti cha Tabora kitulivu sana, ukikipiga unakuwa zezeta tuNataka nikutwange swali bang gan huwa ina stimu sana ya arusha ya chato au tarime?
Nimesema amelala wapi nimeongea habari ya kupiga mzigoChaaaaa kumbe jamaa anajipigia mzigo kama kawa
UlizaNaomba mmoja ajitolee nimtandike maswali
Nimeshtuka sababu aliniambia anakuja kukuchek anarudi sasa hayo mambo ya yeye kulala tena huko sijaelewa wakati kaniambia nisilale nimsubiri mpaka arudi mwenza..Mke mwenza niaje aisee mbona unashtuka kama ulikuwa hujui