Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazo zuri sana Mkuu watu Wana stress sana na kuvulugwa na maisha imagine #TANESCO nao wamekata umeme usiku huu Hivi kweli mtu usivurugwe kweli?kweli aisee napendekeza JF kuwe na jukwaa la saikolojia na atafutwe mods mtaalamu wa saikolojia Ili kuwashape wavurugwaji maana soon tutaenda poteza members watakao jiua Kwa frustration!
Sasa unacheka nini?
Acha upuuzi wewe yani milioni nne tu unataka ununue gari badala ya kufanya investment za maanaWadau nina milioni nne nataka ninunue gari used naombeni ushauri wenu
Haahaaahaha tabu kweli kweli Hivi Hilo shirika chakavu kwanini wasiruhusu mashirika mengi ya uwekezaji TANESCO ikapata mpinzani maana ktaongeza ushindani!wazo zuri sana Mkuu watu Wana stress sana na kuvulugwa na maisha imagine #TANESCO nao wamekata umeme usiku huu Hivi kweli mtu usivurugwe kweli?
Wewe ndio famba hela zangu unataka kunipangia matumizi tafuta zako ukainvest popo weweAcha upuuzi wewe yani milioni nne tu unataka ununue gari badala ya kufanya investment za maana
haaahahaha ila una mambo ya ajabu sana..Poa tu nambie
Thubutu,yaani waruhusu ushindani wafe kifo Cha Mende?Haahaaahaha tabu kweli kweli Hivi Hilo shirika chakavu kwanini wasiruhusu mashirika mengi ya uwekezaji TANESCO ikapata mpinzani maana ktaongeza ushindani!
We mlevi tu pita hiviWewe ndio famba hela zangu unataka kunipangia matumizi tafuta zako ukainvest popo wewe
Ndio uache kiherehere cha kushobokea pesa za watu pumbavu weweWe mlevi tu pita hivi
kweli aisee wewe angalia kama wale wa mawasiliano I mean TTCL wamejifia kifo Cha Mende baada ya makampuni ya uwekezaji kuja,Thubutu,yaani waruhusu ushindani wafe kifo Cha Mende?
Hilo shirika Lina wenyewe na Kuna vigogo wameligeuza shamba la bibi kuchuma mapesa kunufaisha matumbo Yao
Kiufupi TANESCO ni shirika la mchongo!