Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliojenga Dodoma wamepoteza pesa zao walikurupuka
Mwamba nimezaliwa Dsm, Dsm ndio kila kitu nyie wa mikoani mmeletwa na chuo mtaelewa nini
Kwani shida ipo wap
Serikali tuongezeeni mishaharaa, maisha yamepanda
1.Kutuondolea dubwasha lililokuwa linaitwa JPM.Jumapili ya leo ya mwisho wa mwaka 2021 umemtolea Mungu sadaka ya shukrani kwa sababu zipi hasa?
Ukiona ama unatajwa sana au Unazungumzwa sana au Unafuatiliwa sana au kuna Watu wanapenda hadi Kujifanya Wao ndiyo GENTAMYCINE hadi wamekariri na Signature yako jua ya kwamba Uliumbwa na Mwenyezi Mungu Siku nzuri ya Jumanne na akakupa Nyota Kali ya Mvuto ambayo ni Chukizo kwa Wapumbavu wengi ambao Mola ( Maulana ) hakuona Umuhimu wa Kuwabariki hivyo.Mimi ndy GENTAMYCINE charismatic fella,entertainer na game changer.Vilaza Kama nyinyi(wewe) mtapata tabu Sana kunifuatilia humu ndani
Kwa taarifa yako Tu hii taarifa nimepata kutoka Kwa mtu mkubwa sn serikalini, kwa hiyo nikiongea kitu basi ujue ni ukweli 100%
Ila sihitaji vilaza km wewe uamini ninachosema.Mpuuzi mkubwa wewe
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ukiona ama unatajwa sana au Unazungumzwa sana au Unafuatiliwa sana au kuna Watu wanapenda hadi Kujifanya Wao ndiyo GENTAMYCINE hadi wamekariri na Signature yako jua ya kwamba Uliumbwa na Mwenyezi Mungu Siku nzuri ya Jumanne na akakupa Nyota Kali ya Mvuto ambayo ni Chukizo kwa Wapumbavu wengi ambao Mola ( Maulana ) hakuona Umuhimu wa Kuwabariki hivyo.Popoma GENTAMYCINE katika ubora wako..Naona unaandika uharo tupu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
ID's zote za hapa JamiiForums ni zangu mpaka na hii ya HS CODE sawa? Je, una Swali lolote lingine? Majibu yangu kwa Wapumbavu, Waswahili na Wanafiki kama Wewe huwa hayako mbali.Hahaha, hivi jamaa ana IDs ngapi humu Jf?
Mtu ukiwa huna hela unawaza ujinga tu [emoji1787][emoji1787]
Mzee kupata pesa kidogo Ushaanza kututusi
.Ndo utafute hela bro Lasivyo kila neno utaona unasimangwa [emoji23]
Popoma baba ako 😾😾😾😃😃😃 mtoa mada kweli popoma
hahahah Aisee mkuu tatizo humu jamvini Kuna watu wamevurugwa na maisha,Wana frustration za kufa mtu!Hahahaaaa Huu Uzi wa kiwaki sana ila umenifurahisha sana Aisee this is JF!
😂😂😂😂
kweli aisee napendekeza JF kuwe na jukwaa la saikolojia na atafutwe mods mtaalamu wa saikolojia Ili kuwashape wavurugwaji maana soon tutaenda poteza members watakao jiua Kwa frustration!hahahah Aisee mkuu tatizo humu jamvini Kuna watu wamevurugwa na maisha,Wana frustration za kufa mtu!