Uzi wa kuandika chochote na kujijibu mwenyewe.

Uzi wa kuandika chochote na kujijibu mwenyewe.

Hahaha, hivi jamaa ana IDs ngapi humu Jf?
Mimi ndy GENTAMYCINE charismatic fella,entertainer na game changer.Vilaza Kama nyinyi(wewe) mtapata tabu Sana kunifuatilia humu ndani

Kwa taarifa yako Tu hii taarifa nimepata kutoka Kwa mtu mkubwa sn serikalini, kwa hiyo nikiongea kitu basi ujue ni ukweli 100%

Ila sihitaji vilaza km wewe uamini ninachosema.Mpuuzi mkubwa wewe

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ndy GENTAMYCINE charismatic fella,entertainer na game changer.Vilaza Kama nyinyi(wewe) mtapata tabu Sana kunifuatilia humu ndani

Kwa taarifa yako Tu hii taarifa nimepata kutoka Kwa mtu mkubwa sn serikalini, kwa hiyo nikiongea kitu basi ujue ni ukweli 100%

Ila sihitaji vilaza km wewe uamini ninachosema.Mpuuzi mkubwa wewe

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu hivi kwenye sheria za Jf inabidi kuna vitu waongeze ufafanuzi, hivi kwa mfano mtu akaamua kujitukana mwenyewe pia anakula ban?

Dah aisee Jf ya miaka hii imenishinda. Tegemea maswali na michango ya hovyo kutoka kwa member yoyote hata experts.
 
Back
Top Bottom