Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Mkuu umezaliwa jumanne? Mimi pia nimezaliwa jumanne.Ila mbona watu wanasema jumanne siku mbaya? Nasikia Hadi mganga hapigi ramli jumanneUkiona ama unatajwa sana au Unazungumzwa sana au Unafuatiliwa sana au kuna Watu wanapenda hadi Kujifanya Wao ndiyo GENTAMYCINE hadi wamekariri na Signature yako jua ya kwamba Uliumbwa na Mwenyezi Mungu Siku nzuri ya Jumanne na akakupa Nyota Kali ya Mvuto ambayo ni Chukizo kwa Wapumbavu wengi ambao Mola ( Maulana ) hakuona Umuhimu wa Kuwabariki hivyo.
Asante sana Mungu kwa Kunipendelea.