Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Mkuu umezaliwa jumanne? Mimi pia nimezaliwa jumanne.Ila mbona watu wanasema jumanne siku mbaya? Nasikia Hadi mganga hapigi ramli jumanneUkiona ama unatajwa sana au Unazungumzwa sana au Unafuatiliwa sana au kuna Watu wanapenda hadi Kujifanya Wao ndiyo GENTAMYCINE hadi wamekariri na Signature yako jua ya kwamba Uliumbwa na Mwenyezi Mungu Siku nzuri ya Jumanne na akakupa Nyota Kali ya Mvuto ambayo ni Chukizo kwa Wapumbavu wengi ambao Mola ( Maulana ) hakuona Umuhimu wa Kuwabariki hivyo.
Asante sana Mungu kwa Kunipendelea.
Sio kila uzi lazima ucomment bwege wew alaf sitaki uni quote acha mambo ya kishamba nimesema popoma baba ako naludia tena popoma baba akoooooo 😾☹️☹️☹️😒We popoma tu maana umeanzisha uzi wa kiwaki sana 😃😃
We mjinga ndo unaandika nini unatujazia server [emoji34]Zandingh Sheng zhinde
We bwege husinipangie cha kufanya kwani JF ni ya mamako, [emoji35]We mjinga ndo unaandika nini unatujazia server [emoji34]
Kuna watu ukikimbizana na akili zao wanakutafutia Ban kimakusudi jibu zuri ni kuwa kimyaWe bwege husinipangie cha kufanya kwani JF ni ya mamako, [emoji35]
Sasa hapo ndo umekaa kimya ndo maana nikasema ww bwege [emoji23]Kuna watu ukikimbizana na akili zao wanakutafutia Ban kimakusudi jibu zuri ni kuwa kimya
Unyama
Ruka na wewe kama ni rahaaMda mwingine unaweza kuwaza adi akili nayo ikaruka
Acha maneno mengi weka link ya huo uzi uliokopiwa humu vinginevyo nakuona kama unapiga porojo tuUzi kama huu mbona nishawahi kumuona hapa Jf ,mtoa mada hana idea mpya kazi kucopy na kupaste idea za wenzake.