Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
binafsi nina matukio matatu moja nikilishuhudia mengine ni yakusikia.
miaka ya 95 nikiwa mdogo lakini nikiwa na ufahamu jumamosi fulani saa 12 kasoro asubuhi hali ya hewa ikiwa mawangu nadhani ilikua ni kipindi mvua za masika zikikaribia kuisha, kwa wale wenyeji wa moshi nadhan hali hii munaifahamu. kunakua na mawingu yametanda kiasi cha mtu alie mbele yako mita 5 huwezi kumuona.
siku hio nilikua nikienda jumuia kwa wakaliki haswa wa kule moshi mnajua jumuia livyokua ni muhimu kuhudhuri na mimi nilingwa kwenye msingi huo nikiwa toka mdogo, na tulikua tunasali nyumba kwa nyumba.
sasa nilivyokaribia hio nyumba iliokua na zamu ya kusali na hali mawingu yakiwa yametanda niliona watu kama watoto hivi wakiwa wameungana mwili isipokua kichwa. yaani mwili ni ni mmoja na vichwa viwili.
sasa yale mawingu yalizuia tusionane mmapena hamaki tukakaribiana, waliponiona walismama kidogo kama vile walistuka nikaona wanaywea kushuka chini yaani kama mshumaa unavyoisha, lakini kwa kasi mara wakaisha wakawa kama jiwe na mwishowe sikuona kitu.
sikuogopa sana nilienda kusali zangu lakini liletukio sikulisahau mpaka leo.
miaka ya 95 nikiwa mdogo lakini nikiwa na ufahamu jumamosi fulani saa 12 kasoro asubuhi hali ya hewa ikiwa mawangu nadhani ilikua ni kipindi mvua za masika zikikaribia kuisha, kwa wale wenyeji wa moshi nadhan hali hii munaifahamu. kunakua na mawingu yametanda kiasi cha mtu alie mbele yako mita 5 huwezi kumuona.
siku hio nilikua nikienda jumuia kwa wakaliki haswa wa kule moshi mnajua jumuia livyokua ni muhimu kuhudhuri na mimi nilingwa kwenye msingi huo nikiwa toka mdogo, na tulikua tunasali nyumba kwa nyumba.
sasa nilivyokaribia hio nyumba iliokua na zamu ya kusali na hali mawingu yakiwa yametanda niliona watu kama watoto hivi wakiwa wameungana mwili isipokua kichwa. yaani mwili ni ni mmoja na vichwa viwili.
sasa yale mawingu yalizuia tusionane mmapena hamaki tukakaribiana, waliponiona walismama kidogo kama vile walistuka nikaona wanaywea kushuka chini yaani kama mshumaa unavyoisha, lakini kwa kasi mara wakaisha wakawa kama jiwe na mwishowe sikuona kitu.
sikuogopa sana nilienda kusali zangu lakini liletukio sikulisahau mpaka leo.