Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakini wapi 😅😅Jamiiforums wanangu wengi sanaaa.. Merry Christmas watu wangu..
We jamaa naona unataka kulogwaMimi namtakia huyu
Bantu Lady
Na mimi je😒thank you so so much Mac, ❣️
My love to you and your family rafiki yangu mzuri, hunaga baya..!!
Wow,Asante sana na kwako pia ninakutakia heri ya christmass na mwaka mpya. Ubarikiwe sana .Nawatakia kheri ya Christmas na mwaka mpya mwamba
Extrovert Mshana Jr Kalpana Victoire Bujibuji Simba Nyamaume mzee wa busara nakukubali sanamkuu
Pmj na Wana wengine wengi mno mnamchango mkubwa Sana kwangu kunibadilisha fikra zangu nawashukuru member wote billa kumsahau
Senior ,kamanda mkuu ,founder mkuu
@melo
Nawapenda San tuko bega kwa bega Hadi mwisho wa duniaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nakupenda mke wangu, mwakani nitatulia kabisaa 🤭🤭🤭Asante mpenzi wangu
Na wewe pia na wakwe zangu
SAFARI HII IDs zako zote UTAZI EXPOSE. NI KAMA UMECHANGANYIKIWA. TATIZO NINI? Genta nenda kamwone Mtaalamu wa AfyaUzi huu tuutumie kutakiana heri ya xmass na mwaka mpya wa 2023 wenye heri na fanaka tele. Uzi huu sio wa kidini wala hauna lengo la kuleta mijadala ya kidini just wishing happy new year and marry xmass au Noel.
Asante sana iwe ya kheri kwako kipenzTo yeye Antonnia Poker Carrasco putin cocastic Depal Brother Mshana Jr Tinsley Wigelekelo DeepPond mzabzab Saint Anne National Anthem na mke wake mpendwa Darlin aunt sophy Pau Bae Lenie brother Bujibuji Simba Nyamaume Kuna wengine sijawataja lkn wote nawatakia afya njema na Christmas njema.
Heri ya christmas na mwaka mpya kwako pia my one and only babuHappy New year kwa mke wa ujana wangu, tuliofunga ndoa siku ya ubatizo na kupata mtoto siku ya kipaimara Sky Eclat
Heri ya Christmas na Mwaka mpya kwa partner wangu wa mahaba bin sukari ya uzeeni yaliyoshindikana Kasie binti mahaba matata
Merry Christmas kwa mjukuu mtiifu nayesubiria kuchukua mahari makubwa kama bado ana bikira Joanah
Heri ya mwaka mpya kwa wapinzani wangu wote wasionitakia mema na wanaoharibu mishe zangu za ukaguzi....
Happy birthday ya Yesu kwa waungwana wote wanainigingea ma-LIKE kwenye posts zangu hata kama ni za kibwege
Nawatakia kifo chema wote wanaonigongea Dislike kwenye post zangu hata zile nilizotumwa na roho mtakatifu kuziandika
Nawatakia maisha marefu wajukuu wangu wote, wazee wenzangu, wala kitimoto wenzangu, wanywa K Vant wenzangu na watakatifu wenzangu
Nawaombea maisha marefu wachuchu wote watakaokubali kwa hiari yao kuja kwangu ili niwakague...
Babu narudi kitandani
Ai lav you moo....Heri ya christmas na mwaka mpya kwako pia my one and only babu
Ai lav yu
Nakupenda mdogo wangu mzuri, beauty with brain,Na mimi je😒
Welcome 😊😊😁😁😁😁Thank you from the bottom of my heart!