Uzi wa kumtakia Heri ya Xmas na mwaka mpya kwa unayemkubali humu JamiiForums, mimi namtakia heri Popoma, Game Changer, Charismatic Fella

Uzi wa kumtakia Heri ya Xmas na mwaka mpya kwa unayemkubali humu JamiiForums, mimi namtakia heri Popoma, Game Changer, Charismatic Fella

Nawatakia Christmass na mwaka mpya mwema members wote wa JF... ..
-Simba sc wotee mashabiki kindakindaki

-Wale watani zangu wa Yanga kuna wengine tulipishana hoja na kutoleana maneno ya shombo ila ki ukweli mlinianza wenyewe kuni attack personaly [emoji3] [emoji3] [emoji3] basi tuanze mwaka vyema tuzidi kushabikia timu zetu vizuri na utani uendelee

-kuna hawa members nimetokea tuu kuelewana nao kupitia maandishi niwatakie heri pia ipo siku tutaonana kuna Dj Khalid Antonnia, Shunie Makiwendo ,Glenn mzabzab bila kumsahau dr namugari .
$$$Merry Christmas and Happy new year$$
In Advance......cheeersss

Tukutane new yr nalog off kidogo
Ahsante Dear wangu kipenzi...

Uwe na Christmas njema na Mwaka mpya 2023 wenye Mafanikio tele Beshti.

Makii anakupenda..
 
Happy New year kwa mke wa ujana wangu, tuliofunga ndoa siku ya ubatizo na kupata mtoto siku ya kipaimara Sky Eclat

Heri ya Christmas na Mwaka mpya kwa partner wangu wa mahaba bin sukari ya uzeeni yaliyoshindikana Kasie binti mahaba matata

Merry Christmas kwa mjukuu mtiifu nayesubiria kuchukua mahari makubwa kama bado ana bikira Joanah

Heri ya mwaka mpya kwa wapinzani wangu wote wasionitakia mema na wanaoharibu mishe zangu za ukaguzi....

Happy birthday ya Yesu kwa waungwana wote wananigongea ma-LIKEs kwenye posts zangu hata kama ni za kibwege

Nawatakia kifo chema wote wanaonigongea Dislike kwenye post zangu hata zile nilizotumwa na roho mtakatifu kuziandika

Nawatakia maisha marefu wajukuu wangu wote, wazee wenzangu, wala kitimoto wenzangu, wanywa K Vant wenzangu na watakatifu wenzangu

Nawaombea maisha marefu wachuchu wote watakaokubali kwa hiari yao kuja kwangu ili niwakague...

Babu narudi kitandani

ODM aka Big Sam Originaleee......

Merry Christmas 🎅🎄 and Happ a New Year 2023.
 
Nawatakia kheri ya Christmas na mwaka mpya mwamba
Extrovert Mshana Jr Kalpana Victoire Bujibuji Simba Nyamaume mzee wa busara nakukubali sanamkuu

Pmj na Wana wengine wengi mno mnamchango mkubwa Sana kwangu kunibadilisha fikra zangu nawashukuru member wote billa kumsahau

Senior ,kamanda mkuu ,founder mkuu
@melo

Nawapenda San tuko bega kwa bega Hadi mwisho wa duniaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nakazia apa bila kusahau wachumba hawa
Jemima Mrembo To yeye Chakorii
 
To yeye umekumbukwa na huku mama☺️☺️

Huhuuu💃💃💃💃💃
Kwa niaba ya wachumba selasini ninasema asante sana mchumba wetu Santos06 😘😘😘😘

Heri ya sikukuu ya xmass na mwaka mpya.tunapokea mialiko ni muhimu
Apo kwenye wachumba 30 ongeza sifuri 3 wawe wachumba afutatu
 
To yeye umekumbukwa na huku mama☺️☺️

Huhuuu💃💃💃💃💃
Kwa niaba ya wachumba selasini ninasema asante sana mchumba wetu Santos06 😘😘😘😘

Heri ya sikukuu ya xmass na mwaka mpya.tunapokea mialiko ni muhimu
😂😂😂tupo kukoma aisee,watoage na hela...siyo kutuzuilia ridhiki na kutuacha😁
 
Uzi huu tuutumie kutakiana heri ya xmass na mwaka mpya wa 2023 wenye heri na fanaka tele. Uzi huu sio wa kidini wala hauna lengo la kuleta mijadala ya kidini just wishing happy new year and marry xmass au Noel.
Nawatakia Kheri ya sikukuu na Mwaka Mpya wana Jf wote.

Lakini kwa Upekee kabisa namtakia Kheri Binti yangu Kipenzi Rumaiya
 
Back
Top Bottom