Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Nimechelewa kuwatumia salamu mnisamehe kwa hilo jamani majukumu ya ndoa yananipenda zaidi.

Nianze na mme wangu anayenifanya niwe na raha kwenye dunia hii Mr Mshana Jr jua nakupenda na ninakupenda sana tu mimi ni wako baba usiwe na shaka.

Pamoja na watu wangu wa nguvu wafuatao nawakubali sana


Kipenzi rafikiiii Mwifwa
Neybright
Sakayo
Mrs Van
Inna
Mzigua90 na cephalocaudo
jje's na Kichwa Kichafu
Thad
Shunie na Davet
Jolie Jolie na hazard cfc
mumu na Mr Miller
Cajojo
usser

Sir Manga ML na Maserati
ledada
Sky Eclat

Queenever
Da Lu
carbamazepine
Mama Sabrina
geniveros
hearly
Numbisa
ISIS
Nalendwa
espy
Samaritan

Na wengine wotee majina magumu jaman mnisamehe .
Twakupenda pia demmis...sikukuu njema na kwako pia

JJ[emoji173]
 
Mimi , Mume wangu sumbai na mtoto wetu P ambaye ni zao la Jf tunawatakia pasaka njema ( kufufuka kwa Bwana Yesu Kristo)
Wakati Yesu anafufuka akafufuke, na Afya zenu zilizozikwa na wachawi, Mali (mafanikio yenu) , vizazi na baraka zote. Amen.
Sakayo
Shunie
Madame S na B wake
espy
dark angel
usser
Madame B
Na wengine wote.
Msisahau kukaribia nyumbani pia.
Asante mama P.
Sikukuu njema wewe na familia yako.
 
IMG-20180401-WA0005.jpg
 
Palantir
zitto junior
hearly
Malcom Lumumba
Nawatakia Pasaka njema wakuu, tumekua pamoja na tutakua pamoja kwa Upendo wake Mungu.. Tuzidi kusambaziana Knowledge. Nawakubali sana kaka zangu
Barikiweni!
-Leonardo Da...
asante sana Comrade"" asante mnooo kwa haya maneno mujarabu"" Mungu ajaalie malengo yako/Yetu yaweze kutimia pasipo uwepo wa vikwazo "" ......salute boss
 
Ndugu angu nilikua nimeandaa uzi ulioshiba hasa kuhusu hio kitu na some details kuhusu mada yako ya biblia. Nilipo i launche ile thread ikapelekwa jukwaa la dini na kuzawadiwa BAN ya wiki mpaka j5
Ila hamna shida till we are together..
L. Dav...
hahahaa eti ime zawadiwa.....kwann wanatufnyia hivi aisee"""
 
Nimechelewa kuwatumia salamu mnisamehe kwa hilo jamani majukumu ya ndoa yananipenda zaidi.

Nianze na mme wangu anayenifanya niwe na raha kwenye dunia hii Mr Mshana Jr jua nakupenda na ninakupenda sana tu mimi ni wako baba usiwe na shaka.

Pamoja na watu wangu wa nguvu wafuatao nawakubali sana


Kipenzi rafikiiii Mwifwa
Neybright
Sakayo
Mrs Van
Inna
Mzigua90 na cephalocaudo
jje's na Kichwa Kichafu
Thad
Shunie na Davet
Jolie Jolie na hazard cfc
mumu na Mr Miller
Cajojo
usser

Sir Manga ML na Maserati
ledada
Sky Eclat

Queenever
Da Lu
carbamazepine
Mama Sabrina
geniveros
hearly
Numbisa
ISIS
Nalendwa
espy
Samaritan

Na wengine wotee majina magumu jaman mnisamehe .
Ahsante sana mke ake Jr.

Mpende sana Jr na mimi pia!!
 
Back
Top Bottom