Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Ule uzi nitakupa siri kwanini anaukandia
Hamna ule uzi kwangu ni kama home, hata sku hizi naona watu wana pungua kuja je nikisema yeye ndio ana tuchafua atakataa?
Hata wewe sometimes huwa una kuja tuna enjoy je siku ukiacha kuja nitamtazamaje yy?

Muonye bhana mi huwa na mshow love sana sijakubaliana na hilo.ukiusema usiku wa manene unaisema familia yangu.
 
Hamna ule uzi kwangu ni kama home, hata sku hizi naona watu wana pungua kuja je nikisema yeye ndio ana tuchafua atakataa?
Hata wewe sometimes huwa una kuja tuna enjoy je siku ukiacha kuja nitamtazamaje yy?

Muonye bhana mi huwa na mshow love sana sijakubaliana na hilo.ukiusema usiku wa manene unaisema familia yangu.
Wewe bado hujapata jimbo humu kwani?
 
Hamna ule uzi kwangu ni kama home, hata sku hizi naona watu wana pungua kuja je nikisema yeye ndio ana tuchafua atakataa?
Hata wewe sometimes huwa una kuja tuna enjoy je siku ukiacha kuja nitamtazamaje yy?

Muonye bhana mi huwa na mshow love sana sijakubaliana na hilo.ukiusema usiku wa manene unaisema familia yangu.
Hahah! poa mkuu usijari hili swala nitalifanyia kazi
 
Hamna ule uzi kwangu ni kama home, hata sku hizi naona watu wana pungua kuja je nikisema yeye ndio ana tuchafua atakataa?
Hata wewe sometimes huwa una kuja tuna enjoy je siku ukiacha kuja nitamtazamaje yy?

Muonye bhana mi huwa na mshow love sana sijakubaliana na hilo.ukiusema usiku wa manene unaisema familia yangu.
Khaaaa lini niliwaandikia thread ha kuuponda ule uzi woiiiiii jamani ebu endeleeni na uzi wenu muwe na jamani kabisa
 
Back
Top Bottom