Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Khaaaaaaa we baba yeyoo jamani sikufati pm mm nakukupa asante

Mama yeyoo huo ni wimbo tu wa Nandy. Mie na wewe tumetoka mbali.

Mambo ya huku huwa yanabaki hukuhuku na mengine yanaishia kulekule. Hapa JF tunaburudika tu.
 
Mama yeyoo huo ni wimbo tu wa Nandy. Mie na wewe tumetoka mbali.

Mambo ya huku huwa yanabaki hukuhuku na mengine yanaishia kulekule. Hapa JF tunaburudika tu.
Ndio mana nakupenda mie [emoji8][emoji8] tulipotoka ni mbali
 
Nawatakia Pasaka njema:
Rais na Mama Magufuli
Kassim Majaliwa na familia yake
Makamu wa rais na familia yake
Mh. Waziri Kigwangalla na familia yake
Mh. Mbarawa na familia yake
Mh. Ummy Mwalimu na familia yake
Mh. Mshana Jr
Mh. Jamaa_Mbishi
pamoja na wana JF wote wanaojitambua.
 
My sweet babe mumu [emoji9][emoji9][emoji9][emoji9]

Mzigua90[emoji9][emoji9][emoji9]
Sakayo
Maserati
Kasie
Neybright
Shunie
emmyta
Demiss
Sky Eclat
jakitoo
Hajar
Numbisa
jje's
Jolie Jolie
Nalendwa
inna
ledada
Mahondah

Iceman 3D
Mwifwa
Davet
Kichwa Kichafu
joseverest
BAK
Vladmirovich putin
hearly
Nokia83
RRONDO
Saint Ivuga
Smart91
Mshana Jr
Daby
Asprin
usser

Wengine ID zenu ngumu kuziandika lkn nawapenda na nawakumbuka maana comment zenu ni burudani tosha.[emoji1][emoji1][emoji1]

Pasaka njema kwa wana JF wote...asanteni kwakunifanya niwe tofauti [emoji4][emoji4][emoji4]
Ubarikiwe nashukuru mkuu
 
Na penda kutuma salamu za pasaka kwa wafuatao

Neybright
Sakayo
Mrs Van
Inna
Mzigua90 na cephalocaudo
jje's na Kichwa Kichafu
Thad
Shunie na Davet
Jolie Jolie na hazard cfc
mumu na Mr Miller
Demiss na Mshana Jr
usser
Afande Mifwa
Sir Manga ML na Maserati
ledada
Sky Eclat

Queenever
Da Lu
carbamazepine
Mama Sabrina
geniveros
hearly
Numbisa
ISIS
Nalendwa
espy
Samaritan
Ahsanteni woote kwa upendo mnao nionesha nawakubali saaana wengine mmekuwa ndugu zangu kabsa humu.

Special thanks kwa ndugu zangu woote wa, threads za
Usiku wa manane -nna wathamini sana nyie watu
Hadithi zote za Shunnie
Real Madrid na Barcelona
Man utd na Juventus
Yanga
Na kwako pia blaza.
 
Back
Top Bottom