Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

LEO naomba Tuwasaidie wale ambao nauli za kwenda mkoani Hawana , Hivi Kuna Waganga wakweli dar au bagamoyo ? Kama unamjua taja jina na Mahali anapopatikana Haina haja ya Mawasiliano Anayehitaji Atamtafuta.
Mi natafuta mganga wa utajiri hata kama nitaishi muda mfupi ili afanikishe lengo la kuwa tajiri nipo serious mkuu.

Masharti yoyote nipo tayari kasoro la kutoa kafara ndugu wa karibu.
 
kaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ipo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Daaaahh life hili ni balaaahh
 
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh
 
Tatizo tukiweka namba zao wengi watajua ni promo ila waganga wapo wanatibu hadi HIV kwa makubaliano unatibiwa unakaa mwaka baada ya kupona ndio unalipa hakuna utaperi wala nini
Wa wap unaye mkuu ? Kama ni Geita nitajie KIJIJI Tu na jina la mtaalamu
 
Kama unahakika kadhurumu hata awe mshirikina vipi bro kuna mzee moja hapo magomeni ni hatari anamfanyia hafi ila utamwona tu atachoka kiuchumi balaa hadi utamwonea huruma
Huyo wa kuchoka ki uchumi nitalipwa vipi Sasa. Anatakiwa apate janga ili ndugu zake na yeye mwenyewe wajichange lisiwakute baya zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…