Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Si mtaje majina yao
 
Utazunguka sana ila siku ukifika kwa Yesu utatulia.
 
Enheeee..SASA mkuu kipi nafuu, mganga masikini akufanyie mambo yako yanyooke au Pastor Tajiri anaezidi kukukamua hela na hakuna unachofanikisha??
Mada haihusu pastors Ila kama utapenda tuwajadili we anzisha tu uzi.

Tuwajadili kuhusu waganga wa kienyeji aka witch doctors.

Tuendelee na mjadala husika.
 
Kuwaka moto wala siyo uganga, ni chemical inaitwa pangaline, nenda kwenye maduka wanayouza vifaa vya ulonzi nunuwa hiyo pangaline nenda nayo kwako imwage juwani weka na karatasi ni lazima ulipuke moto mkubwa, Sasa hapo kalumanzira ndio anakuseti kwenye swaga zake.

Hizo ni chemical composition tu.
 
Nimecheka sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo kiboko
 
Ukitafakari kwa makini, wengi waliofanikiwa walipata mganga wa kweli ila wana mbwembwe nyingi "mara Mungu kanijalia" sema hivi kwa ufasaha "Mungu kanijalia kupata mganga wa kweli". Tusidanganyane bwana. Hata hawa jamii ya "Bwana asifiwe mambo ni yale yale".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…