Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
Mmh Fanya mpangoHizi comments Zina Tia genye 😀😀😀😀
Ila kwa ground Sasa 🤸😀
Hapa ulichoandika ni Kama kwamba ndoa zote Ni kaburi/majanga. Sio kweli.
Mimi mwenyewe nipo kwenye ndoa, tunapata changamoto za hapa na pale, tunazozana, makofi yanapigwa, nanuniwa wiki lakini yanaisha maisha yanaendelea, tunafurahia.
Nothing of value is cheap asee.
Hapa nipo nafata soseji za wife (anapenda Sana soseji) wakati huohuo nimemwachia maagizo kuwa akanyoe nywele au afanye lolote kutoa marangi ya nywele ya njano (ameweka bila kuniambia na sipendi).
So ndoa Zina pande mbili, Furaha na huzuni. Mnapaswa kutafuta fumbuzi za changamoto zenu mkuu.
Watu wengi sana wanakuja kulalamika humu kuwa hawapati papuchi japo wapo kwenye ndoa. Mtu unapata papuchi kama mshahara, once a month...damn..Sindio hapo 😀😀
Eti kuna Mtu nimeona ka comment ukioa unauhakika wa kupewa papuchi /dushe wakati wowote ,, wakati Kuna watu wanalazwa mzungu wa 4 daily , Nina jamaa yangu huyo alikuwa hapewi papa na mkewe takribani miezi hata 4 na siku akipewa anapewa kwa masimango utadhani mtoto wa kambo vile 😀😀
mnapendaga sana kuhadithia umbea then mkikatizwa mnakasirikaNdoa raha bhana,kuoga pamoja/kupunguzana misitu sili mpaka arudi tule pamoja,silali mpaka arudi nyumbani,umbea sasa ndousiseme namuhadithiaga mpaka anasahau nilipoanzia na usingizi anapata[emoji16][emoji16][emoji16]
Kingsmann
haya mzee kula maisha... inaonekana anakupenda sanaNimekaa nae more than 10 years,,,, hata Master's yangu yeye Amelia sehemu y mafanikio yake by the way true n form four level,,,,pia and mapungufu but naomba mungu anipe ujasiri Ili niyashinde,,,,
NB kesho nampeleka clinic n mtoto Wetu WA Tatu ambaye anafunga mwezi kamili kesho.....
So just Tulia kijana tafuta w kukufaa kulingana n Maisha yako ,,,Kwa mke hatuangalii matako brthr
Msalimie Mahondaw jamani 😘Ngoja waje kuyaanika mambo yao wakati walishafundwa kwamba yasitoke nje ni yao peke yao...
Njoo tuonane mimi na wewe.Mnatutamanisha sana ila hongereni mlio oa /kuolewa na mnafaidi mema ya nchi😍
Kwenye bongo movie wanasemaga SAPOTA😂😂😂Ukihitaji mtu wa kumweleza shida zako, hofu yako, huzuni yako, mawazo yako, furaha yako au hata mipango yako huna haja ya kumpigia shost, unamsubiri babe akirudi unaanza kumweleza, unadekezwa, unashauriwa, unatiwa moyo, na unnapata support ya kutosha
HowKwenye bongo movie wanasemaga SAPOTA😂😂😂
Ngoma mpk kifo hii kaa kwa kutuliaMtaachana tuuu
Yaani hizi kauli hamjui kuwa mnakuwa mnaanika aina ya wanawake mlionao huko majumbani, hatuna mapito ya kufanana Eli,Hakika mkuu, mimi ni nani nikupinge. Kila ndoa ina uniqueness yake, lakini uchumi ukikaa vibaya ndani ya nyumba ni shida mkuu.
We acha tu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Soseji unaenda mfatia/ mletea
Ila manywele ya njano ayatoe aahahahahahahahhahahaaa
You must be friends after/before being lovers....
Enjoy your marriage bro.
Hatuwezi kuwaanika wake zetu rafiki, tunaongea kwa ujumla wake tu. Ndoa tamu sana, Ila hizo ups and downs zake sasa.Yaani hizi kauli hamjui kuwa mnakuwa mnaanika aina ya wanawake mlionao huko majumbani, hatuna mapito ya kufanana Eli,
🙄Hatuwezi kuwaanika wake zetu rafiki, tunaongea kwa ujumla wake tu. Ndoa tamu sana, Ila hizo ups and downs zake sasa.
Mmh ila ndoa yetu sisi tutakuja kushuhudia mema kweli au itakua kila siku matukio ya kutisha😀😀 kama sikuamini amini vile...