Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

Wewe wakaka wenye muscles wanaongoza jamani kwa kuvutia jamani ila wakizidi kama mwarabu wa dai sivutiwi kabisa
sasa wanavutia halafu hawana Pesa mkuu..mbona mnatuchanganya ..mmeshaanza kuwa kama mvua na jua..
hebu tuambieni Mnataka Pesa kwetu au muscles
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…