Uzi wa kuulizana maswali ya kijinga.

Hivi vuzi zina kazi gani mwilini?
Atukuzwe aliyetuumba maana aliona mbali.

Vuzi hutumika pia kama mboga ladha yake ni kati kati ya matembele na sukuma wiki. Wengi waliojikuta hawana chakula hula mavuzi yao ili kusogeza muda wa kuishi mbele.

Pia mbinu hii hutumiwa na wanaonasa chini kwenye vifusi. Unashauriwa ule na nyusi pia.
 
Hivi ukiwa unalima mazao ya biashara itabidi usherekee Nanenane au sabasaba?
 
Si watoto tu hata watu wazima huulizana maswali ya kijinga. Hebu tuulizane. juzi kati nimepita sehemu nikakuta madingi wanaulizana.
"Eti Malaika ni ndege?". wakuu hivi Malaika ni ndege?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…