Uzi wa kuwapa vijana wazo la ujasiliamali/biashara baada ya malipo ya kazi ya zoezi la sensa kuisha

Uzi wa kuwapa vijana wazo la ujasiliamali/biashara baada ya malipo ya kazi ya zoezi la sensa kuisha

Kalunya

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2021
Posts
13,322
Reaction score
18,609
Wasalamu! nawasalimu wote kwa jina la tozo ziendelee.

Tunaishukuru serikali kwa kusikia ombi letu la kuwapa ajira ya mda vijana wasio na ajira kwenye zoezi la sensa ya watu angalau vijana wachache waliobahatika kupata nafasi hio wataambulia kitu baada ya zoezi kuisha.

Si chini ya sh milioni moja wanaweza pata. Hapa tayari ni mtaji tosha kwa kijana asiye na akili ya panzi itamsaidia kupata mtaji tosha angalau atimize ndoto zake kama ni kufanya biashara, ujasiliamali au kupata ujuzi wowote utakaomuwezesha mbeleni kujiajiri au kuajiriwa na hivyo kupelekea kuwa mzalishaji mali na ikiwemo mtoa ajira kwa wengine Ili kukuza uchumi wa nchi yetu.

Nimewasikia baadhi ya vijana waliosota mtaani wakiwaza kununua simu na pamba kali baada ya kupata pesa hizo za ndoto zao ikiwemo kung'oa pisi kali. Nimekuja na wazo tuwasaidie mawazo ya nini wafanye kama ni biashara gani Ili wazalishe, ndipo hayo mengine wafanye baada ya kufanikiwa. Na mawazo machache ongezea mengine.


IDEAS ZA KUTOKA KIMAISHA KWA MTAJI MDOGO

1. Nunua pikipiki ya Dhamana ukaanza biashara ya Boda boda.
2. Fungua saluni
3. Mradi wa tofali za kuchoma
3. Fuga kuku
4. Somea ujuzi wowote
5. Mradi wa kushona nguo
6. kijiwe cha kuchomelea
7. kijiwe cha milango na madirisha ya aluminum
8. Mgahawa Mdogo
9. Kijjwe cha kahawa
10. Mashine ya kupukuchua mazao mfano mahindi, mpunga, mtama, karanga, nk
11. Mashine ya kukata nyasi, kupalilia
12. Kuuza mbuzi, kuku,
13. Biashara ya mazao.
14. kukodi bus, daladala na kuzisimamia upate cha juu
15. Kutengeneza sabuni, sanitizer, handwash,
16. Kutengeneza unga wa lishe
17. Kilimo cha umwagailiaji water pump, mbegu, madawa
18. Jiko la supu
19. kutengeneza mkaa mbadala
20. Kuuza chips
21. Kukaanga kuku
22. Kutengeneza vitafunio
23. Kuzalisha ethanol
24. kufuga poko mbuzi katoliki
25. Kufungua kilabu cha pombe za kienyeji
26. Kufungua vijiwe vya Kukusanya ubuyu maporini yakitimia magunia unaleta mjini
27. Kuuza juice
28. Kuuza juice ya miwa
29. Kijiwe cha kukaanga samaki jioni
30. Shughuli za upambaji kumbi
31. Kusambaza bidhaa majumbani
32. Kusambaza bidhaa basic needs kwenye maduka ya vijijini yaani unanua mjini unasambaza kwa oda viduka vya vijijini.
33. Kuzunguka minadani kuuza nguo za mitumba, vyombo, nk
34. Kufungua tuition center
35. Kufungua grocery
36. Kuwa wakala wa bidhaa za viwandani
37. kijiwe cha kukusanya taka za plastic, chuma,oil chafu na tairi chakavu.
38. Kufungua genge la kuuza basic home need
39. Kufungua ofisi ya kupiga nguo pasi.
40. Ofisi ya kutengeneza viatu na mabegi
41. Kutengeneza vyombo vya kupikia mfano, majiko, ndoo, sufuria, mifuniko, vikaangio, nk
42. Saluni ya kutengeneza kucha za wanawake
43. Jengea vyumba vitatu wazazi wako nyumba ya Bati upate baraka
44. Nunua shamba
45. Nunua ng'ombe wadogo watano kwa laki na nusu anza ufugaji.
Au nunua mbuzi anza kufuga
46. Fungua kijiwe cha kuonyesha mpira
47. duka la nguo za kupoint classic za mitumba piga pasi tundika kwenye enga
48. Ofisi za baiskeli za kukodi hapo unapata baiskeli nane
49. Duka la spea za pikipiki na baiskeli
50. Duka la dawa na vipodozi
51. Ofisi ya kuchaji simu kwa sola vijijini
52. Ofisi ya uwakala wa kutuma na kutoa pesa
53. Bustani za kuzalisha miche ya miti na matunda
54. Ufugaji nyuki na kuuza asali
55. Kuzalisha unga wa muhogo
56. Direct sale yaani door to door delivery hapa unakuwa na torori na speaker unapita KILA nyumba unauza bidhaa na kuchukua oda ya nini wanataka Ili kesho uwaletee.
57. Utengenezaji pellets chakula cha mifugo,samaki.
58. unga wa lishe
59. mikeka
60. Bidhaa za mianzi.
61. Utengenezaji wine,
62. Usafi wa majumbani
63. Kuuza uji wa ulezi,mchele
64. Utengenezaji mbolea za mboji na za maji.
65. Utengenezaji wa vigae vya cement na vya udongo.
66. Kupanda miti kwa ajili ya nguzo na mirunda
67. Utengenezaji wa ndala
68. Utengenezaji viatu
69. Upondaji kokoto
70. Ufundi simu na radio
71. Utengenezaji mifagio
72. Utengenezaji crips za Mihogo,ndizi,viazi,nk
73. Utengenezaji tambi,ubuyu
74. Panda mlonge,au nyonyo,au mibono au muarobaini Ili uje uuze mafuta,au utengeneze sabuni.
75. Kutengeneza siagi ya karanga
76. Home delivery hapa ni kupita KILA nyumba na kuchukua oda za mahitaji yao then unaenda kununua unawaletea
77. Utengezaji wa vifungashio vya karatasi
78. Utengenezaji mitungi, vyungu, majiko ya udongo
79.
80.










SAsa wewe ukipata pesa jifanye pedeshee kwa kufungua zipu na chupa,kesho usianze kulia lia sijui tozo sijui nini.

Mtaji ni pesa yeyeto kuanzia elf 1000 ukiamua unatoka.
 
Pesa ni nyingi sana,wazitumie vyema,zieainue.
 
Upupu mtupu....... hela yenyewe mbuzi haiwezi kutunzika ukafanya la maana!! ... mara leo wapate laki mbili kesho laki siku nyigine laki nne......afadhali sensa ilyopita walipata hela ya maana kuliko hiii...
 
hela yenyewe mbuzi haiwezi kutunzika ukafanya la maana!! ... mara leo wapate laki mbili kesho laki siku nyigine laki nne..
Mkuu wagosi wanauza karanga hapa mjini na maisha yanaenda...

Sometimes sio kupata Vingi,,, ila ni hicho kidogo unakitumiaje... Na nidhamu yako ikoje.. Ukifeli kutumia vizuri laki nne,, usitegemee ukipata 1m ndio utaitumia vizuri...

Discipline ina matter sana kwenye swala la Fedha... Kuliko kiasi unachoingiza..

Lawama hazisaidiiiii,,, as long as wanalipwa inatosha sana kuanza.
 
Wazo la ujasiriamali bila PESA nayo ni hadithi za abunuasi
 
Wasalamu! nawasalimu wote kwa jina la tozo ziendelee.

Tunaishukuru serikali kwa kusikia ombi letu la kuwapa ajira ya mda vijana wasio na ajira kwenye zoezi la sensa ya watu angalau vijana wachache waliobahatika kupata nafasi hio wataambulia kitu baada ya zoezi kuisha.

Si chini ya sh milioni moja wanaweza pata. Hapa tayari ni mtaji tosha kwa kijana asiye na akili ya panzi itamsaidia kupata mtaji tosha angalau atimize ndoto zake kama ni kufanya biashara, ujasiliamali au kupata ujuzi wowote utakaomuwezesha mbeleni kujiajiri au kuajiriwa na hivyo kupelekea kuwa mzalishaji mali na ikiwemo mtoa ajira kwa wengine Ili kukuza uchumi wa nchi yetu.

Nimewasikia baadhi ya vijana waliosota mtaani wakiwaza kununua simu na pamba kali baada ya kupata pesa hizo za ndoto zao ikiwemo kung'oa pisi kali. Nimekuja na wazo tuwasaidie mawazo ya nini wafanye kama ni biashara gani Ili wazalishe, ndipo hayo mengine wafanye baada ya kufanikiwa. Na mawazo machache ongezea mengine.

Kwa sh milioni moja unaweza
1.Nunua pikipiki ya Dhamana ukaanza biashara ya Boda boda.
2.Fungua saluni
3.Mradi wa tofali za kuchoma
3.Fuga kuku
4.Somea ujuzi wowote
5.Mradi wa kushona nguo
6.kijiwe cha kuchomelea
7.kijiwe cha milango na madirisha ya aluminum
8.Mgahawa Mdogo
9.Kijjwe cha kahawa
10.Mashine ya kupukuchua mazao mfano mahindi, mpunga, mtama, karanga, nk
11.Mashine ya kukata nyasi, kupalilia
12.Kuuza mbuzi, kuku,
13.Biashara ya mazao.
14.kukodi bus, daladala na kuzisimamia upate cha juu
15.Kutengeneza sabuni, sanitizer, handwash,
16.Kutengeneza unga wa lishe
17.Kilimo cha umwagailiaji water pump, mbegu, madawa
18.Jiko la supu
19.kutengeneza mkaa mbadala
20.Kuuza chips
21.Kukaanga kuku
22.Kutengeneza vitafunio
23.Kuzalisha ethanol
24.kufuga poko mbuzi katoliki
25.Kufungua kilabu cha pombe za kienyeji
26.Kufungua vijiwe vya Kukusanya ubuyu maporini yakitimia magunia unaleta mjini
27.Kuuza juice
28.Kuuza juice ya miwa
29.Kijiwe cha kukaanga samaki jioni
30.Shughuli za upambaji kumbi
31.Kusambaza bidhaa majumbani
32.Kusambaza bidhaa basic needs kwenye maduka ya vijijini yaani unanua mjini unasambaza kwa oda viduka vya vijijini.
33.Kuzunguka minadani kuuza nguo za mitumba, vyombo, nk
34.Kufungua tuition center
35.Kufungua grocery
36.Kuwa wakala wa bidhaa za viwandani
37.kijiwe cha kukusanya taka za plastic, chuma,oil chafu na tairi chakavu.
38.Kufungua genge la kuuza basic home need
39.Kufungua ofisi ya kupiga nguo pasi.
40.Ofisi ya kutengeneza viatu na mabegi
41.Kutengeneza vyombo vya kupikia mfano, majiko, ndoo, sufuria, mifuniko, vikaangio, nk
42.Saluni ya kutengeneza kucha za wanawake
43......Jengea vyumba vitatu wazazi wako nyumba ya Bati upate baraka
44..Nunua shamba
45.Nunua ng'ombe wadogo watano kwa laki na nusu anza ufugaji.
Au nunua mbuzi anza kufuga
46.Fungua kijiwe cha kuonyesha mpira
47.duka la nguo za kupoint classic za mitumba piga pasi tundika kwenye enga
48..Ofisi za baiskeli za kukodi hapo unapata baiskeli nane
49..Duka la spea za pikipiki na baiskeli
50.Duka la dawa na vipodozi
51..ofisi ya kuchaji simu kwa sola vijijini
52..ofisi ya uwakala wa kutuma na kutoa pesa
53.. Bustani za kuzalisha miche ya miti na matunda
54... Ufugaji nyuki
55..
56..





SAsa wewe ukipata pesa jifanye pedeshee kwa kufungua zipu na chupa,kesho usianze kulia lia sijui tozo sijui nini.

Mtaji ni pesa yeyeto kuanzia elf 1000 ukiamua unatoka.
Umetoa umelekeo mzuri kwa vijana, kazi kwao kuamua matumzi ya pesa. Wamue kunyoa au kusuka.
 
Wasalamu! nawasalimu wote kwa jina la tozo ziendelee.

Tunaishukuru serikali kwa kusikia ombi letu la kuwapa ajira ya mda vijana wasio na ajira kwenye zoezi la sensa ya watu angalau vijana wachache waliobahatika kupata nafasi hio wataambulia kitu baada ya zoezi kuisha.

Si chini ya sh milioni moja wanaweza pata. Hapa tayari ni mtaji tosha kwa kijana asiye na akili ya panzi itamsaidia kupata mtaji tosha angalau atimize ndoto zake kama ni kufanya biashara, ujasiliamali au kupata ujuzi wowote utakaomuwezesha mbeleni kujiajiri au kuajiriwa na hivyo kupelekea kuwa mzalishaji mali na ikiwemo mtoa ajira kwa wengine Ili kukuza uchumi wa nchi yetu.

Nimewasikia baadhi ya vijana waliosota mtaani wakiwaza kununua simu na pamba kali baada ya kupata pesa hizo za ndoto zao ikiwemo kung'oa pisi kali. Nimekuja na wazo tuwasaidie mawazo ya nini wafanye kama ni biashara gani Ili wazalishe, ndipo hayo mengine wafanye baada ya kufanikiwa. Na mawazo machache ongezea mengine.

Kwa sh milioni moja unaweza
1.Nunua pikipiki ya Dhamana ukaanza biashara ya Boda boda.
2.Fungua saluni
3.Mradi wa tofali za kuchoma
3.Fuga kuku
4.Somea ujuzi wowote
5.Mradi wa kushona nguo
6.kijiwe cha kuchomelea
7.kijiwe cha milango na madirisha ya aluminum
8.Mgahawa Mdogo
9.Kijjwe cha kahawa
10.Mashine ya kupukuchua mazao mfano mahindi, mpunga, mtama, karanga, nk
11.Mashine ya kukata nyasi, kupalilia
12.Kuuza mbuzi, kuku,
13.Biashara ya mazao.
14.kukodi bus, daladala na kuzisimamia upate cha juu
15.Kutengeneza sabuni, sanitizer, handwash,
16.Kutengeneza unga wa lishe
17.Kilimo cha umwagailiaji water pump, mbegu, madawa
18.Jiko la supu
19.kutengeneza mkaa mbadala
20.Kuuza chips
21.Kukaanga kuku
22.Kutengeneza vitafunio
23.Kuzalisha ethanol
24.kufuga poko mbuzi katoliki
25.Kufungua kilabu cha pombe za kienyeji
26.Kufungua vijiwe vya Kukusanya ubuyu maporini yakitimia magunia unaleta mjini
27.Kuuza juice
28.Kuuza juice ya miwa
29.Kijiwe cha kukaanga samaki jioni
30.Shughuli za upambaji kumbi
31.Kusambaza bidhaa majumbani
32.Kusambaza bidhaa basic needs kwenye maduka ya vijijini yaani unanua mjini unasambaza kwa oda viduka vya vijijini.
33.Kuzunguka minadani kuuza nguo za mitumba, vyombo, nk
34.Kufungua tuition center
35.Kufungua grocery
36.Kuwa wakala wa bidhaa za viwandani
37.kijiwe cha kukusanya taka za plastic, chuma,oil chafu na tairi chakavu.
38.Kufungua genge la kuuza basic home need
39.Kufungua ofisi ya kupiga nguo pasi.
40.Ofisi ya kutengeneza viatu na mabegi
41.Kutengeneza vyombo vya kupikia mfano, majiko, ndoo, sufuria, mifuniko, vikaangio, nk
42.Saluni ya kutengeneza kucha za wanawake
43......Jengea vyumba vitatu wazazi wako nyumba ya Bati upate baraka
44..Nunua shamba
45.Nunua ng'ombe wadogo watano kwa laki na nusu anza ufugaji.
Au nunua mbuzi anza kufuga
46.Fungua kijiwe cha kuonyesha mpira
47.duka la nguo za kupoint classic za mitumba piga pasi tundika kwenye enga
48..Ofisi za baiskeli za kukodi hapo unapata baiskeli nane
49..Duka la spea za pikipiki na baiskeli
50.Duka la dawa na vipodozi
51..ofisi ya kuchaji simu kwa sola vijijini
52..ofisi ya uwakala wa kutuma na kutoa pesa
53.. Bustani za kuzalisha miche ya miti na matunda
54... Ufugaji nyuki
55..
56..





SAsa wewe ukipata pesa jifanye pedeshee kwa kufungua zipu na chupa,kesho usianze kulia lia sijui tozo sijui nini.

Mtaji ni pesa yeyeto kuanzia elf 1000 ukiamua unatoka.
Wataanza kulaumu mama eti kaweka tozo 😁😁😁😁..

Vijana epukeni na kutumiwa na wanasiasa njaa wa chadomo hakuna kitu kitawasaidia changamkia fursa hizi hapa serikali inatoa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220821-183722.png
    Screenshot_20220821-183722.png
    40.9 KB · Views: 63
  • Screenshot_20220821-183916.png
    Screenshot_20220821-183916.png
    137.6 KB · Views: 58
  • Screenshot_20220821-183835.png
    Screenshot_20220821-183835.png
    125.9 KB · Views: 57
  • Screenshot_20220821-183935.png
    Screenshot_20220821-183935.png
    176.7 KB · Views: 53
  • Screenshot_20220821-183408.png
    Screenshot_20220821-183408.png
    132.3 KB · Views: 62
Natamani KILA kijana atakaelipwa hio pesa iwe ni baraka ya kufungua maisha yake iwe ni biashara au ujuzi Ili apate kumbukumbu ya nini kafanyia pesa hio.
Wengi zitaishia kwenye madeni..na kurudisha shukrani... Hapa nilipo wamesainishwa laki 5 Lakini wanatakiwa kurudisha laki 3 .. Just imagine..
 
Wengi zitaishia kwenye madeni..na kurudisha shukrani... Hapa nilipo wamesainishwa laki 5 Lakini wanatakiwa kurudisha laki 3 .. Just imagine..
Watakatwa au watapewa then wataambiwa warudishe
 
Vijana hawa hawa ambao wanataka kununua simu za macho matatu ndio unawashauri? wengi wao kwanza watakula pombe hiyo 1.1 ya sensa amini usiamini, mwenye wazo la kufuga hata kuku hakuna hapo
 
Back
Top Bottom