pharao
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 397
- 690
Asante nashukuru mzee
Kazi nzuri Sana Yani inatamanisha, hususani Hilo jiji mbele .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi nzuri Sana Yani inatamanisha, hususani Hilo jiji mbele .
Good work, huwa natamani siku niweze kutengeneza composition ya hivi ila iwe video...Hii nimeipachika jina Inaitwa "Johannesburg 2100"
Maelezo...
Ni baada ya kutokea machafuko ya vita na magonjwa, Kizazi cha Binadamu kitapotea na Miji kuchakaa. Wanyama wa mbugani watasambaa mijini.
Najaribu kutafuta picha original ambayo niliitumia ila siioni. ila video wakati nikiitengeneza ipo. View attachment 1465498
nakushauri utumie unreal engine mzee, after effect itakusumbuaGood work, huwa natamani siku niweze kutengeneza composition ya hivi ila iwe video...
Mwakani inabidi nirudi kwenye after effects aisee..
Shukrani kwa ushauri mkuu, mimi ni kichaa sana linapokuja suala la mavideo yenye ma'element ya CGIs.nakushauri utumie unreal engine mzee, after effect itakusumbua
kazaneni Kama Andrew price anaishi kwa hii michongo hata yule jamaa was learning engineering YouTube anapiga mkwanja kwa kutumia blenderRasmi mwanachama wa blender, subirini maajabu
We n mbunifu sana,kapicha kaukutan umekapatia mno,na wasela wengi hazkosag picha kama hzoGETO LA MSELA
View attachment 1296468
this is the one of craziest render i ever made. nilitumia masaa kama kumi na moja kuikamilisha. japo sakafu kama imenizingua hivi lakini ni moja ya picha inayonivutia kwa kweli. nafikiri nitahitaji kuongeza mijusi mijusi hapo ukutani.
Hii mbona kama picha ya kwelGETO LA HAKI
View attachment 1362390
😂 😂 😂 😂Hii mbona kama picha ya kwel
Hapa umeua sana mkuu.Real time engine eevee. View attachment 1609814
interfence imebadilika kwenye 2.8Niliisusa blender kwa muda, na kipindi hicho nilikuwa natumia v2.7 sasa nimerudi na nime update kwenda v2.9. Hii interface ni noma....yaani hapa nipo na struggle kuelewa kila kitu kipo wapi? Hotkey zimebadilika yaani tabu tupu...Hadi kuzoea sio leo....😂😂😂😂😂
View attachment 1633115