Luteni Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 337
- 312
Mkuu hongera huu uzi hakika umenipa idea kidogo japo ctumii pc ila ningependa kujikita zaidi huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaribishwa sana mkuu.Mkuu hongera huu uzi hakika umenipa idea kidogo japo ctumii pc ila ningependa kujikita zaidi huko
Mkuu, model zako ziko simple lakini zinaonekana poa sana. Good work..
😀 😀 😀 😀Hapa nimepiga nodes for the first time, sijui hata nilitaka kuunda ninView attachment 1464412
Thanks mkuuMkuu, model zako ziko simple lakini zinaonekana poa sana. Good work..
pamoja sana mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Material nodes huwaga miyeyusho sana, ila ukizijulia zinafanya kazi kuwa bora mno. Ni kuzidi kufanya mazoezi mara kwa mara.
Japo hata mimi nimeshindwa kujua hicho ni nini ila kwa macho inavutia, hasa hiyo background.
Safi, unatumia software gani mkuu?Azam TV studioView attachment 1464512
Mimi nimeitengeneza hii, kutoka kwenye pori nimeweka Jiji, nimeweka miti, nimeweka barabara, nimeweka ballon, nimeweka watu wakielekea kwenye jiji hilo, nimeweka vipepeo.
Nimetumia PhotoshopView attachment 1465433
Mimi nimeitengeneza hii, kutoka kwenye pori nimeweka Jiji, nimeweka miti, nimeweka barabara, nimeweka ballon, nimeweka watu wakielekea kwenye jiji hilo, nimeweka vipepeo.
Nimetumia PhotoshopView attachment 1465433
Picha nzuri,nina ka swali,ni nini mantiki ya kuweka hio blueish hapo kwenye mti?Mimi nimeitengeneza hii, kutoka kwenye pori nimeweka Jiji, nimeweka miti, nimeweka barabara, nimeweka ballon, nimeweka watu wakielekea kwenye jiji hilo, nimeweka vipepeo.
Nimetumia PhotoshopView attachment 1465433
Picha nzuri,nina ka swali,ni nini mantiki ya kuweka hio blueish hapo kwenye mti?