Uzi wa ma-lastborn tu

Hahaaa ulast born rahaa kweeeli....mimi ikipita mwezi sijaenda nyumbani, mamaa anashangaa atapiga kuniuliza mbona sijaenda kunyonya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mengi yasiwe mambo
 
Na kuwasomesha wazazi wakiwa hawapo


Sent using Jamii Forums mobile app
Na wengine wanasomeshwaga na huku wazazi wapo... Yaani hutu tubwana mdogo tuna shida sana... halafu kwa kulalamika sasa..!!! tunaongoza kulalama hadi kero...

Unfortunately hayo madeko wengine huingia nayo hadi kwenye ndoa... Sasa ukute first born kaowana na last born ..weeeeee..... yaani huyu first born anakuwa si mwanandoa, bali mzazi wa mwenzie... Yaani katoka kulea wadogo zake na sasa analea mwanandoa kama mdogo wake
 
Hakika sisi ni wa kwake (Allah) na kwake ni Marejeo yetu. Pumzika kwa amani mdogo wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka utakuwa mkojoaji mzuri sasa hivi maana mafunzo ulishayapitia kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dadek ulimchambisha alaf baadae anakuletea dharau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dadek nqchagua kulea mwanandoa wangu hao wengine wakatafute mafirst born huko na wao walelewe shwain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry, hivi mnaongelea wale ambao bado mnaishi kwa wazazi ??, kwa sababu mkishaanza kujitegemea ulastborn wako utamfanyia nani ?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…