Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sijawahi kwenda kukaa kwa watu na Wala sitaki...Last born anapotakiwa kuishi nje ya home sasaa..!!! hapo ndo changamoto huanzia...
Asantee naja fastaa
View attachment 1384357
Lastborn wana raha utasikia mwacheni mtoto
Hata akila mkate mzima wengine mkose hata hafokewi sasa kula wewe ambae wa pili kuzaliwa utaona cha mkutema kuni [emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajionaga mnajua kila kitu[emoji85][emoji85][emoji85]
Na ubabe kama wote.
Ha ha! Mkuu ule ulikuwa utoto tu ni mapito kama mapito mengine.Bila shaka utakuwa mkojoaji mzuri sasa hivi maana mafunzo ulishayapitia kitambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatumwa Sana
Mimi nadhani Ni housegirl wa dada zangu..ikafika muda nikawa mkali maana nilikuwa naendeshwa Kama gari bovu.
Unakuta unaagizwa kitu dukani,unajrudi Mara unaambiwa tulisahau hiki nenda Tena...Mimi nilikuwa nawaambia ukiona umenituma kitu ukasahau kngine Basi uende mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia
#DeputyParents
Lastborn wetu ni kajeuri mama anasemaga tumuite kaka kisa tuliomtangulia wote KE...kuna siku alinizingua nilikachapa mpaka nikamuonea huruma baadaye ( ni mlevi wa kiepe yai nikambeba nikaenda kumnunulia urafiki ukarudi.
Halafu nachompendea hasira yake haikai sio kama Mimi ukinizingua nanuna balaa
Kama ni last born inawezekana unajijua huwa inadekaje na umeshaona anayeweza kuyavumilia madeko yako ni hao waliopo hapo home. Au pengine mtetezi wako mkuu yupo hapo home ndo maana huwezi toka. Nahisi unajuwa ukitoka tu kwenda kuishi kwingine ITAKULA KWAKO MAZIMASijawahi kwenda kukaa kwa watu na Wala sitaki...
Kuishi kwa watu naweza Sana tu ila sitaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii ndo tabia kuu ya ma-last born... wao huona hawapendwi... MTU PEKEE AMBAYE MALSTI BONI HUONA ANAYEWAPENDA NI MAMA MZAZI NA BIBI PEKEE.... wengine wote huhisi hawawapendi
🤣🤣🤣
Kingine nachochukia n kwamba nisipotimiza jukumu flani lawama nyingi mana wote utasikia ww nilikulipia ada mara hivi mara vile na ukicheki nina ndugu 7 yani ni mtihani jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wengine wanasomeshwaga na huku wazazi wapo... Yaani hutu tubwana mdogo tuna shida sana... halafu kwa kulalamika sasa..!!! tunaongoza kulalama hadi kero...
Unfortunately hayo madeko wengine huingia nayo hadi kwenye ndoa... Sasa ukute first born kaowana na last born ..weeeeee..... yaani huyu first born anakuwa si mwanandoa, bali mzazi wa mwenzie... Yaani katoka kulea wadogo zake na sasa analea mwanandoa kama mdogo wake
Na hii ndo tabia kuu ya ma-last born... wao huona hawapendwi... MTU PEKEE AMBAYE MALSTI BONI HUONA ANAYEWAPENDA NI MAMA MZAZI NA BIBI PEKEE.... wengine wote huhisi hawawapendi
Nishakoma mpaka hapa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndiyo mkome
Me mbona najitegemea lakini nafasi yangu bado ipo nyumbani?! Na ukubwa huu mie bado hela za baba nakulaSorry, hivi mnaongelea wale ambao bado mnaishi kwa wazazi ??, kwa sababu mkishaanza kujitegemea ulastborn wako utamfanyia nani ?.
Unajitegemea kiaje ?, na je huko ulipo una unamdekea ?, nijuavyo mimi toto huwa linadeka kwa wazazi wakeMe mbona najitegemea lakini nafasi yangu bado ipo nyumbani?! Na ukubwa huu mie bado hela za baba nakula
Nishakoma mpaka hapa.
#Halafu we dogo wewe
Last born ina raha kama wazazi wako wapo hai lkn kwa sie tuliopoteza wazazi utotoni hakuna anayetujua ni msoto mwanzo mwisho!
Nitadeka kwa mume wangu [emoji4][emoji4][emoji6]